YNNAH
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,702
- 972
Karibu sana Lushoto Arushaone. Uje ule mapeasiAhsante sana YNNAH! Off topic nadhani nitakuja huko Ushoto soon kabla sijaenda Mwanza kwa kina charminglady.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana Lushoto Arushaone. Uje ule mapeasiAhsante sana YNNAH! Off topic nadhani nitakuja huko Ushoto soon kabla sijaenda Mwanza kwa kina charminglady.
Kipipi next x mass inshallah tuwakaribishe wana jf BK,au?
Thanks a lot KOKUTONA...Kutokana na jina lako mi nilijua una mapozi sana, na nilianza kuongea na wewe kwa step sana, yaani niliingiza kwanza mguu mmoja!...Lakini baadaye nilianza kujilaumu kuwa nilipoteza muda mwingi sana kujiulizauliza.PakaJimmy na wote mliokuja Tanga mmebaki kwenye mioyo yetu na tumewaaandika na kalamu isiyofutika kamwe.
We hope to see you soon, you are all cute and charming that hamuishi hamu lol
Tunashukuru kwa shukrani na sisi tunawashukuru pia.
Karibuni tena.
Mnanichosha bhana! Nitawang'ata na meno!
Thanks a lot KOKUTONA...Kutokana na jina lako mi nilijua una mapozi sana, na nilianza kuongea na wewe kwa step sana, yaani niliingiza kwanza mguu mmoja!...Lakini baadaye nilianza kujilaumu kuwa nilipoteza muda mwingi sana kujiulizauliza.
Kokutona u r such a warm person, Pure African Woman, good mannered, and excellent general conduct...sijui kama ulikuwa unaigiza but i dont think so!...ningekukamatia mahali fulani ambapo hakuna mwanadamu anayeweza kupretend.
All i can say is, there is a very lucky man somewhere out there!
Nakuombea usibadilike mwaya.
Jamani usiseme hivyo! Mapenzi yanaua ati!!!
Happy New Year...
Happy New Year kwako pia best....
Happy New Year...
Thanks a lot KOKUTONA...Kutokana na jina lako mi nilijua una mapozi sana, na nilianza kuongea na wewe kwa step sana, yaani niliingiza kwanza mguu mmoja!...Lakini baadaye nilianza kujilaumu kuwa nilipoteza muda mwingi sana kujiulizauliza.
Kokutona u r such a warm person, Pure African Woman, good mannered, and excellent general conduct...sijui kama ulikuwa unaigiza but i dont think so!...ningekukamatia mahali fulani ambapo hakuna mwanadamu anayeweza kupretend.
All i can say is, there is a very lucky man somewhere out there!
Nakuombea usibadilike mwaya.
Thanx my luv! I hope this we'll be our best yr ni our marriage!