Uchaguzi 2020 Mlitakaje? Yani mnataka Magufuli awapigie debe wagombea wa upinzani?

Uchaguzi 2020 Mlitakaje? Yani mnataka Magufuli awapigie debe wagombea wa upinzani?

the horse

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
652
Reaction score
442
Nashangaa kuona vijana wa CHADEMA na ACT wakihangaika kujadili suala ambalo katika demokrasia halina mjadala.

Magufuli akiwa mgombea wa CCM amekuwa akiwapigia debe wagombea wa CCM na kuwanadi na kusema bayana kuwa mkiniletea flani hapa maendeleo yatakuja msiponiletea huyu hiiiiiiiiiiii shauri yenu!!!

Vijana wanaochipukia katika siasa wanapaniki kusikia hivyo na kuanza kuweka tafsiri za kishamba kuwa Rais anabagua.

Huo ni ushamba wa kisiasa, Rais Magufuli yuko kwenye demokrasia ya siasa anapigania nafasi yake na anawapigania wanachama wa Chama chake lazima awanadi na kuwaombea kura hawezi kumnadi mgombea wa upinzani itakuwa kituko.

Licha ya yeye kuwa Rais lakini yuko katika majukwaa ya siasa kama ambavyo viongozi wengine wa CHADEMA na ACT na wengineo pia wako kwenye majukwaa ya siasa na hawawezi kamwe kumpigia debe mgombea wa CCM hata kama amepita bila kupingwa.

Lakini turudi kiuhalisia, kwa nini Mgombea wa CCM anasema maendeleo hayana Chama lakini chagueni CCM? Nimeeleza hapo kuwa hizo ni sababu za convenience ya kiutendaji kwani:

1. Hatuoni jinsi wapinzani wanapoingia mabaraza ya madiwani wanavyokwamisha sera na mipango ya Serikali iliyoki madarakani?;

2. Kwani hatuoni jinsi Bungeni wabunge wa upinzani kwa misimamo ya kupangiwa kutoka nje au kupangiwa na vyama vyao kwa miaka mitano wamekataa kupitisha bajeti na hivyo kama usingekuwa wingi wa CCM nchi ingeingia kwenye mgogoro mkubwa kijamii??

3. Mara ngapi tunaona wapinzani wakipinga kila kinachofanywa na Serikali hata kama kizuri kwa umma? Hawa unawapigiaje debe kwa mfano? Yani unampigia debe mtu ambaye akichaguliwa anaponda ujenzi wa shule, vyuo, hospitali, barabara, madaraja atakwambia ni maendeleo ya vitu sio watu!!! Huyu wa nini?

Hapa ndipo unamuona Rais Magufuli falsafa hake ya "nileteeni diwani wa CCM na Mbunge wa CCM" nikafanye nao kazi.

Kauli hizo za kutaka watendaji watakaosimamia Ilani ya CCM chama kinachokwenda kushinda mchana kweupe, haimaanishi na haijawahi kumaanisha kuwa eneo alipo diwani wa upinzani au mbunge wa upinzani maendeleo hayaendi, la hasha, CCM anaharakisha tu maendeleo, kwani:

1. Ule uwanja wa ndege wa Kigoma hadi Zitto anatua na ndege safi wakati viwanja vingine vya ndege vya mikoa kama Simiyu, Tanga, Ruvuma na kwingineko umejengwa jimbo la mtu wa CCM?

2. Interchange ya Ubungo pale imejengwa jimbo la CCM? Na barabara ya njia nane Ubungo hadi Kimara hadi Kibaha ni jimbo la CCM?

3. Kajenga hospitali 71, vituo vya afya Kata 478 na zahanati zaidi ya 1000 hivi viko majimbo ya CCM pekee???

4. Amekamilisha meli ile Ziwa Victoria MV NEW VICTORIA wanapanda CCM tu?

Yako mengi lakini naseeeemaaaaa hata mimi, kwa kuangalia utendaji wa kinafiki usiosimama kwenye falsafa bayana ya maendeleo ya Taifa, naseemaaa maendeleo hayana chama ila chama kinachoweza kukubakikishia maendeleo ya kweli na ya maana na ambacho hakitaelekezwa na wazungu bali mahitaji ya Mtanzania ni CCM, CCM, CCM.

Asanteni sana.
 
Kwani pesa za hayo maendeleo anatoa mfukoni mwake?

Hapo ndipo anapoonekana kituko. Hivi, hizi PhD zina faida gani?
 
Yaani kama pamoja na kuandika hayo hapo juu na bado hufahamu wanacholalamikia ACT basi utakuwa na matatizo makubwa ya uelewa... jambo ambalo ndio mtaji mkubwa wa CCM!!

Yaani Rais wa nchi anatangaza hadharani kwamba mkimchagua huyu sitawaleteamaendeleo utadhani hayo maendeleo yanaletwa na pesa za babake halafu bado unaona sawa?!

Yaani kuwaambia wananchi mkichagua wapinzani hamtapata maendeleo yote hayo kwako unaona sawa?!

Kwamba eti ni tafsiri za kishamba, unaweza kutuambia huwa anamaanisha nini hapo?!

Acheni kutetea upumbavu na acheni huu ujinga wa kudhani nchi ni ya kwenu!!
 
Kwani pesa za hayo maendeleo anatoa mfukoni mwake?

Hapo ndipo anapoonekana kituko. Hivi, hizi PhD zina faida gani?
Yaani kuna watu wapumbavu sana kwa kutetea ujinga ujinga!!

Yaani Jiwe anavyofanya utadhani hii nchi ni shamba la babake, na kwahiyo kinachopatikana yeye ndo mwenye haki ya kumpa amtakae na kumyima amtakae, na bado wanatokea wapumbavu wanatetea ujinga kama huu!

Very stupid!

Huku kima mleta mada kaniharibia sana siku yangu!!
 
Vijana wa Lumumba hawana ubongo kichwani bali wana mavi tu.
Yaani kuna watu wapumbavu sana kwa kutetea ujinga ujinga!! Yaani Jiwe anavyofanya utadhani hii nchi ni shamba la babake, na kwahiyo kinachopatikana yeye ndo mwenye haki ya kumpa amtakae na kumyima amtakae, na bado wanatokea wapumbavu wanatetea ujinga kama huu!

Very stupid!

Huku kima mleta mada kaniharibia sana siku yangu!!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hii nchi haina wizara moja tu ya ujenzi mkuu, huyu alitakiwa abaki kuwa waziri wa ujenzi full stop. Huwezi kuendesha nchi huku mizani ikilalia upande wa ujenzi peke yake, it si a free ride to a miserable failure na ndiyo stage tuliyofikia
 
Mleta mada bado upeo wako uko chini sana. Hujui hata ulichokiandika.

Watu wanahoji kauli ya mgombea urais wa CCM kuwatishia wananchi kuwa, ikiwa atakuwa rais tena, basi hatapeleka pesa za maendeleo kwenye maeneo ya wapinzani. Hapo ndipo kiini cha mjadala kilipo.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Watanzania wenzangu naomba tuipuuze ilekauli yakusema msipomchagua Silinde sileti maji hapa kwanza yeye mwenyewe hajui kama atapita yupo shakani kila mtu raia watanzania.

Kila raia akisema msipomchagua fulani nalipua hiki nadhani hapatakalika hapa tume na vyombo vyote vimuonye mtu huyu
 
Kweli! Mtu anataka ati baba aliyetiwa umasikini kwa korosho zake kukwamishwa na jiwe, amsifu na kumpigia kura. Anataka eti na watu wa Kagera wamsifu na kumpigia kura, mtu aliyewanyanyasa na kula rambirambi zao!

Hivi mtu kama MO au Roma mkatoliki aliyetekwa akaminywa matugu kisawasawa watamfurahia na kumpa kura? Watoto wa Simon Kanguye au ndugu zake Azory Gwanda au Ben saanane wamfurahie Jiwe na kumpa kura?

Waliomaliza vyuo vikuu miaka hii mitano ambao hawajaajiriwa, wafanyakazi ambao hawakupandishwa madaraja au kuongezewa mishahara kwa miaka mitano hii.

Eatu kama Yusufu Manji ambao wamefilisiwa kibiashara, na majority ya Watanzania ambao ni wahanga kwa namna moja au nyingine wa utawala wa ccm kwa miaka 5 eti wamfurahie na kumpa kura jiwe!!!! Sidhani

Kura ikipigwa kwa haki na mchakato ukatawaliwa na haki, utawala wa CCM utakuwa ndo kwaheri. Ila, goli la mkono tu ndilo wanalolitegemea.
 
Kweli! Mtu anataka ati baba aliyetiwa umasikini kwa korosho zake kukwamishwa na jiwe, amsifu na kumpigia kura. Anataka eti na watu wa Kagera wamsifu na kumpigia kura, mtu aliyewanyanyasa na kula rambirambi zao! Hivi mtu kama MO au Roma mkatoliki aliyetekwa akaminywa matugu kisawasawa watamfurahia na kumpa kura? Watoto wa Simon Kanguye au ndugu zake Azory Gwanda au Ben saanane wamfurahie Jiwe na kumpa kura? Waliomaliza vyuo vikuu miaka hii mitano ambao hawajaajiriwa, wafanyakazi ambao hawakupandishwa madaraja au kuongezewa mishahara kwa miaka mitano hii, watu kama Yusufu Manji ambao wamefirisiwa kibiashara, na majority ya Watanzania ambao ni wahanga kwa namna moja au nyingine wa utawala wa ccm kwa miaka 5 eti wamfurahie na kumpa kura jiwe!!!! Sidhani. Kura ikipigwa kwa haki na mchakato ukatawaliwa na haki, utawala wa ccm utakuwa ndo kwaheri. Ila, goli la mkono tu ndilo wanalolitegemea.
Ndugu yangu, mimi sijawahi kufika Kagera, na wala sina ndugu anayeishi Kagera lakini moja ya kauli ambazo zinanichoma hadi kesho ni ile ya Jiwe kuuliza "Hivi kuna Kagera kuna nini...UKIMWI nyinyi, kunyauka migomba....!"

NIkabaki kujiuliza what's he insinuating!!!

Tena hapo juu umeacha ukatili wa wazi wazi ambao tuliushuhudia... yaani ule wa kubomoa nyumba kiroho mbaya kule Morogoro Rd!!!

Yusuf Manji... dah!!!

Hata kama Yusuf Manji anaweza kuwa kweli ni fisadi lakini ukiangalia unaona wazi kwamba Magufuli alikuwa amemkamia Yusuf Manji na ndio maana baada ya kupata alichotaka, yaani kumkomoa; akamwacha!!!

It's hurtful even to think kila kilichofanywa na hii serikali!!
 
Nashangaa kuona vijana wa Chadema na ACT wakihangaika kujadili suala ambalo katika demokrasia halina mjadala.

Magufuli akiwa mgombea wa CCM amekuwa akiwapigia debe wagombea wa CCM na kuwanadi na kusema bayana kuwa mkiniletea flani hapa maendeleo yatakuja msiponiletea huyu hiiiiiiiiiiii shauri yenu!!!

Vijana wanaochipukia katika siasa wanapaniki kusikia hivyo na kuanza kuweka tafsiri za kishamba kuwa Rais anabagua.

Huo ni ushamba wa kisiasa, Rais Magufuli yuko kwenye demokrasia ya siasa anapigania nafasi yake na anawapigania wanachama wa Chama chake lazima awanadi na kuwaombea kura hawezi kumnadi mgombea wa upinzani itakuwa kituko.

Licha ya yeye kuwa Rais lakini yuko katika majukwaa ya siasa kama ambavyo viongozi wengine wa Chadema na ACT na wengineo pia wako kwenye majukwaa ya siasa na hawawezi kamwe kumpigia debe mgombea wa CCM hata kama amepita bila kupingwa.

Lakini turudi kiuhalisia, kwa nini Mgombea wa CCM anasema maendeleo hayana Chama lakini chagueni CCM? Nimeeleza hapo kuwa hizo ni sababu za convenience ya kiutendaji kwani:

1. Hatuoni jinsi wapinzani wanapoingia mabaraza ya madiwani wanavyokwamisha sera na mipango ya Serikali iliyoki madarakani?;

2. Kwani hatuoni jinsi Bungeni wabunge wa upinzani kwa misimamo ya kupangiwa kutoka nje au kupangiwa na vyama vyao kwa miaka mitano wamekataa kupitisha bajeti na hivyo kama usingekuwa wingi wa CCM nchi ingeingia kwenye mgogoro mkubwa kijamii??

3. Mara ngapi tunaona wapinzani wakipinga kila kinachofanywa na Serikali hata kama kizuri kwa umma? Hawa unawapigiaje debe kwa mfano? Yani unampigia debe mtu ambaye akichaguliwa anaponda ujenzi wa shule, vyuo, hospitali, barabara, madaraja atakwambia ni maendeleo ya vitu sio watu!!! Huyu wa nini?

Hapa ndipo unamuona Rais Magufuli falsafa hake ya "nileteeni diwani wa CCM na Mbunge wa CCM" nikafanye nao kazi.

Kauli hizo za kutaka watendaji watakaosimamia Ilani ya CCM chama kinachokwenda kushinda mchana kweupe, haimaanishi na haijawahi kumaanisha kuwa eneo alipo diwani wa upinzani au mbunge wa upinzani maendeleo hayaendi, la hasha, CCM anaharakisha tu maendeleo, kwani:

1. Ule uwanja wa ndege wa Kigoma hadi Zitto anatua na ndege safi wakati viwanja vingine vya ndege vya mikoa kama Simiyu, Tanga, Ruvuma na kwingineko umejengwa jimbo la mtu wa CCM?

2. Interchange ya Ubungo pale imejengwa jimbo la CCM? Na barabara ya njia nane Ubungo hadi Kimara hadi Kibaha ni jimbo la CCM?

3. Kajenga hospitali 71, vituo vya afya Kata 478 na zahanati zaidi ya 1000 hivi viko majimbo ya CCM pekee???

4. Amekamilisha meli ile Ziwa Victoria MV NEW VICTORIA wanapanda CCM tu?

Yako mengi lakini naseeeemaaaaa hata mimi, kwa kuangalia utendaji wa kinafiki usiosimama kwenye falsafa bayana ya maendeleo ya Taifa, naseemaaa maendeleo hayana chama ila chama kinachoweza kukubakikishia maendeleo ya kweli na ya maana na ambacho hakitaelekezwa na wazungu bali mahitaji ya Mtanzania ni CCM, CCM, CCM.

Asanteni sana.

Hebu jitahidi kufikiria zaidi ya hapo. Ni kweli mheshimiwa kafanya mambo makubwa kwa gharama kubwa pia. Hebu tafakari ugumu wa maisha ya Watanzania katika miaka 5 ya uongozi wake. Katekeleza miradi mikubwa ambayo kimsingi kandarasi wake ni makampuni ya nje. Wanalipwa na kupeleka hela kwao, mzunguko wa hela kwa wazawa ni mdogo sana na sehemu nyingine haupo kabisa. Shangazi yangu kule buhigwe anaelewa nini mambo ya fly over, interchange , bombadia 11, bwawa la Nyerere na treni ya mwendo kasi ambavyo havigusi maisha yake ya kila siku huku akishuhudia:

1. Elimu bure bila walimu wa kutosha darasani.
2. Vituo vya afya visivyo na wataalamu wa kutosha wala dawa muhimu
3. Maji hakuna.
4. Tozo za kodi zilizochangamka.
5. Kukopwa mazao yaliyotokana na kilimo duni.
6. Waliosomesha watoto wao kwa shida, ajira hakuna.

Angeweka uwiano mzuri kwa kila sekta angalau kidogo, halafu tusonge mbele. Tatizo ameegemea sekta moja tu, ujenzi.

Kumbuka pia hakuna Mtanzania asiyelipa kodi, awe wa upinzani au chama tawala na kodi ndiyo kila kitu katika mipango ya maendeleo ya nchi kwa hiyo siyo sahihi kabisa kutishiwa kunyimwa maendeleo kwa sababu tu eneo fulani wamechagua upinzani . Hivi hawa wapinzani wametoka wapi, Venezuela au ni Watanzania wenzetu? Tukubali mawazo mbadala ili tusonge mbele.

Hiyo ndiyo mitazamo ya vijana wa CHADEMA na ACT ambao wewe unawashangaa na wao wanakushangaa pia.
 
Nashangaa kuona vijana wa CHADEMA na ACT wakihangaika kujadili suala ambalo katika demokrasia halina mjadala.

Magufuli akiwa mgombea wa CCM amekuwa akiwapigia debe wagombea wa CCM na kuwanadi na kusema bayana kuwa mkiniletea flani hapa maendeleo yatakuja msiponiletea huyu hiiiiiiiiiiii shauri yenu!!!

Vijana wanaochipukia katika siasa wanapaniki kusikia hivyo na kuanza kuweka tafsiri za kishamba kuwa Rais anabagua.

Huo ni ushamba wa kisiasa, Rais Magufuli yuko kwenye demokrasia ya siasa anapigania nafasi yake na anawapigania wanachama wa Chama chake lazima awanadi na kuwaombea kura hawezi kumnadi mgombea wa upinzani itakuwa kituko.

Licha ya yeye kuwa Rais lakini yuko katika majukwaa ya siasa kama ambavyo viongozi wengine wa CHADEMA na ACT na wengineo pia wako kwenye majukwaa ya siasa na hawawezi kamwe kumpigia debe mgombea wa CCM hata kama amepita bila kupingwa.

Lakini turudi kiuhalisia, kwa nini Mgombea wa CCM anasema maendeleo hayana Chama lakini chagueni CCM? Nimeeleza hapo kuwa hizo ni sababu za convenience ya kiutendaji kwani:

1. Hatuoni jinsi wapinzani wanapoingia mabaraza ya madiwani wanavyokwamisha sera na mipango ya Serikali iliyoki madarakani?;

2. Kwani hatuoni jinsi Bungeni wabunge wa upinzani kwa misimamo ya kupangiwa kutoka nje au kupangiwa na vyama vyao kwa miaka mitano wamekataa kupitisha bajeti na hivyo kama usingekuwa wingi wa CCM nchi ingeingia kwenye mgogoro mkubwa kijamii??

3. Mara ngapi tunaona wapinzani wakipinga kila kinachofanywa na Serikali hata kama kizuri kwa umma? Hawa unawapigiaje debe kwa mfano? Yani unampigia debe mtu ambaye akichaguliwa anaponda ujenzi wa shule, vyuo, hospitali, barabara, madaraja atakwambia ni maendeleo ya vitu sio watu!!! Huyu wa nini?

Hapa ndipo unamuona Rais Magufuli falsafa hake ya "nileteeni diwani wa CCM na Mbunge wa CCM" nikafanye nao kazi.

Kauli hizo za kutaka watendaji watakaosimamia Ilani ya CCM chama kinachokwenda kushinda mchana kweupe, haimaanishi na haijawahi kumaanisha kuwa eneo alipo diwani wa upinzani au mbunge wa upinzani maendeleo hayaendi, la hasha, CCM anaharakisha tu maendeleo, kwani:

1. Ule uwanja wa ndege wa Kigoma hadi Zitto anatua na ndege safi wakati viwanja vingine vya ndege vya mikoa kama Simiyu, Tanga, Ruvuma na kwingineko umejengwa jimbo la mtu wa CCM?

2. Interchange ya Ubungo pale imejengwa jimbo la CCM? Na barabara ya njia nane Ubungo hadi Kimara hadi Kibaha ni jimbo la CCM?

3. Kajenga hospitali 71, vituo vya afya Kata 478 na zahanati zaidi ya 1000 hivi viko majimbo ya CCM pekee???

4. Amekamilisha meli ile Ziwa Victoria MV NEW VICTORIA wanapanda CCM tu?

Yako mengi lakini naseeeemaaaaa hata mimi, kwa kuangalia utendaji wa kinafiki usiosimama kwenye falsafa bayana ya maendeleo ya Taifa, naseemaaa maendeleo hayana chama ila chama kinachoweza kukubakikishia maendeleo ya kweli na ya maana na ambacho hakitaelekezwa na wazungu bali mahitaji ya Mtanzania ni CCM, CCM, CCM.

Asanteni sana.
Kwa katiba yetu. Kiti cha u Rais hakibaki tupu muda wote. Na kauli za Rais ni sawa na amri, au hata sheria. Ndiyo maana ni vizuri kuchagua maneno ya kutamka mbele za wananchi .

Aliahidi stand Kilwa . Lakini alipokumbushwa na wananchi akajibu "Shauri yenu na Bwege wenu" !!.

Mji wa Bunda kwenda ziwani ni kilometres chache sana. Na wabunge waliopita pale wengi ni wa Ccm kuanzia Warioba, Wasira na hata Khangi na muhula uliopita amekuepo mbunge wa Cdm. Ambaye naye huko nyuma alikuwa viti maalumu Ccm.

Mh anaombwa maji akaishia kuwasimanga kwa kuchagua upinzani !!. Akaenda mbali zaidi na kudai hata taa za barabarani wamenyimwa kwa kuchagua upinzani ?!.

Wananchi wote sasa wanalipa Kodi direct na indirect. Kwanini kodi zao uchukuwe , lakini uwanyime miradi ya maendeleo ?! Huu ni ubaguzi. Na hapa ndipo Sera ya majimbo ingesaidia kuondoa umungumutu wa Rais kwa Tanzania .
 
Uzi umedoda nimeamua nikuongezee comment.Ni lisu@#Ni yeye M4C
 
CCM hoyeeee. Magufuli hoyeeeeee
Hahahahahaha.....umepanic sasa unajishaua. Haya uliyoendelea kuandika ulikosa nafasi hapo juu kwenye main post? Kama Taifa tunasema ubaguzi sasa baaas! Hayo mengine sijui kunadi nini hayatuhusu.
 
Nashangaa kuona vijana wa CHADEMA na ACT wakihangaika kujadili suala ambalo katika demokrasia halina mjadala.

Magufuli akiwa mgombea wa CCM amekuwa akiwapigia debe wagombea wa CCM na kuwanadi na kusema bayana kuwa mkiniletea flani hapa maendeleo yatakuja msiponiletea huyu hiiiiiiiiiiii shauri yenu!!!

Vijana wanaochipukia katika siasa wanapaniki kusikia hivyo na kuanza kuweka tafsiri za kishamba kuwa Rais anabagua.

Huo ni ushamba wa kisiasa, Rais Magufuli yuko kwenye demokrasia ya siasa anapigania nafasi yake na anawapigania wanachama wa Chama chake lazima awanadi na kuwaombea kura hawezi kumnadi mgombea wa upinzani itakuwa kituko.

Licha ya yeye kuwa Rais lakini yuko katika majukwaa ya siasa kama ambavyo viongozi wengine wa CHADEMA na ACT na wengineo pia wako kwenye majukwaa ya siasa na hawawezi kamwe kumpigia debe mgombea wa CCM hata kama amepita bila kupingwa.

Lakini turudi kiuhalisia, kwa nini Mgombea wa CCM anasema maendeleo hayana Chama lakini chagueni CCM? Nimeeleza hapo kuwa hizo ni sababu za convenience ya kiutendaji kwani:

1. Hatuoni jinsi wapinzani wanapoingia mabaraza ya madiwani wanavyokwamisha sera na mipango ya Serikali iliyoki madarakani?;

2. Kwani hatuoni jinsi Bungeni wabunge wa upinzani kwa misimamo ya kupangiwa kutoka nje au kupangiwa na vyama vyao kwa miaka mitano wamekataa kupitisha bajeti na hivyo kama usingekuwa wingi wa CCM nchi ingeingia kwenye mgogoro mkubwa kijamii??

3. Mara ngapi tunaona wapinzani wakipinga kila kinachofanywa na Serikali hata kama kizuri kwa umma? Hawa unawapigiaje debe kwa mfano? Yani unampigia debe mtu ambaye akichaguliwa anaponda ujenzi wa shule, vyuo, hospitali, barabara, madaraja atakwambia ni maendeleo ya vitu sio watu!!! Huyu wa nini?

Hapa ndipo unamuona Rais Magufuli falsafa hake ya "nileteeni diwani wa CCM na Mbunge wa CCM" nikafanye nao kazi.

Kauli hizo za kutaka watendaji watakaosimamia Ilani ya CCM chama kinachokwenda kushinda mchana kweupe, haimaanishi na haijawahi kumaanisha kuwa eneo alipo diwani wa upinzani au mbunge wa upinzani maendeleo hayaendi, la hasha, CCM anaharakisha tu maendeleo, kwani:

1. Ule uwanja wa ndege wa Kigoma hadi Zitto anatua na ndege safi wakati viwanja vingine vya ndege vya mikoa kama Simiyu, Tanga, Ruvuma na kwingineko umejengwa jimbo la mtu wa CCM?

2. Interchange ya Ubungo pale imejengwa jimbo la CCM? Na barabara ya njia nane Ubungo hadi Kimara hadi Kibaha ni jimbo la CCM?

3. Kajenga hospitali 71, vituo vya afya Kata 478 na zahanati zaidi ya 1000 hivi viko majimbo ya CCM pekee???

4. Amekamilisha meli ile Ziwa Victoria MV NEW VICTORIA wanapanda CCM tu?

Yako mengi lakini naseeeemaaaaa hata mimi, kwa kuangalia utendaji wa kinafiki usiosimama kwenye falsafa bayana ya maendeleo ya Taifa, naseemaaa maendeleo hayana chama ila chama kinachoweza kukubakikishia maendeleo ya kweli na ya maana na ambacho hakitaelekezwa na wazungu bali mahitaji ya Mtanzania ni CCM, CCM, CCM.

Asanteni sana.
Ni vigumu sana kumtetea mtu wa hovyo kama jiwe, najua mnatumia nguvu nyingi na mmeajiriwa kwa ajili hiyo lakini bado mnazidiwa nguvu kwa mbali mno na vijana wa CDM wanaojitolea bando na wakati wao bure. Polepole mtaelewa ukuu wa nguvu za Umma na mtasaliti amri.
 
Yaani kama pamoja na kuandika hayo hapo juu na bado hufahamu wanacholalamikia ACT basi utakuwa na matatizo makubwa ya uelewa... jambo ambalo ndio mtaji mkubwa wa CCM!!

Yaani Rais wa nchi anatangaza hadharani kwamba mkimchagua huyu sitawaleteamaendeleo utadhani hayo maendeleo yanaletwa na pesa za babake halafu bado unaona sawa?!

Yaani kuwaambia wananchi mkichagua wapinzani hamtapata maendeleo yote hayo kwako unaona sawa?!

Kwamba eti ni tafsiri za kishamba, unaweza kutuambia huwa anamaanisha nini hapo?!

Acheni kutetea upumbavu na acheni huu ujinga wa kudhani nchi ni ya kwenu!!
mkuu ushawahi mkuta magu anawaponda wapinzani nje ya kampeni hvi unazijua lugha za kisiasa kweli hapo anatumia hiyo lugha kuwashawishi watu ili apate wabunge wengi maendeleo yasichelewe
 
Back
Top Bottom