Mkuu hapo umemaliza. Umetoa mada nzuri sana.
Ukweli ni kwamba wanajua bali tu hawataki kukiri kwamba yote haya uliyo yaandika ni sahii. Ushabiki wao wa kiitikadi na upungufu wao wa maarifa na ujuha walio kuwa nao ndiyo unawatesa.
Ukweli wa mambo wanateseka sana moyoni kuona kwamna sisi waafrika tunaweza kulipeleka gurudumu letu la maendeleo mbele. Wanateseka kwasababu wao ni mbumbumbu kwa hiyo wanataka nasi pia tuwe mambumbumbu kama wao. Wanajaribu kutuaminisha sisi tuukubali umbumbumbu wao. Ili nasi tuonekane kuwa ni majuha kama wao.
Wewe mwangalie mtu wanaye mwita kiongozi wao Lissu alivyo. Lissu ni juha la kutupwa. Pale lilipo halina hata akili na wala hana vision na ndiyo maana anang'ang'ania kuwa kila kitu hatuwezi kukifanya bila mutants (wazungu). Jamaa ni mwendawazimu mkubwa sana. Hana hata ile akili ya kutambua maana ya utu wake kama sokwe. Wazungu wanamwona yeye ni sokwe tu. Hata afanye nini, yeye ni sokwe tu kwenye fikra zao. Sokwe atabaki kuwa sokwe tu daima. Anatutia ahibu sana! Karne ya 21 tuna kuwa na kiongozi anaye wasujudu wazungu? Wakati kwenye nchi za kiafrika wananchi wanajitahudi kuingiza Philosophy nyingine zidi ya wazungu, yeye anataka turudi tena huko?
Msikilizeni ex-president wa Ghana Jerry Rolling emotionally akiwasihi wafaransa waondoke Afrika:
Lissu ni mtu dhaifu sana na ndiyo maana anakubali kutumiwa na kudanganywa na wazungu ili yeye apate umaarufu. Lissu anajiona ni mtu wa thamani sana kuliko watanzania wote wengine, Lissu anajiona kann kwamba ni mtu ambaye amesoma sana sheria kuliko mtanzania mwinngine wakati hajui kuwa yeye ndiyo anayechekwa na wazungu kwa kumwuona kuwa ni limbukieni wao. Wanamtumia tu yeye kwa maslahi yao.
Wajerumani wana msemo wanao utumia kwa mtu kama huyo. Mtu kama huyo anaitwa "Marionette"(puppet), maana yake ni kwamba ni sanamu linalochezeshwa kwenye Theater kwa kutumia kamba au nyuzi nyingi.
Hii ina maana ni mtu ambaye anachezeshwa na watu wengine au kwa ufasaha zaidi ni mtu ambaye anaambiwa nini cha kufanya. Yeye mwenyewe hana maarif hayo na uwezo huo.
Google-Ergebnis für https://previews.123rf.com/images/blueskyimage/blueskyimage1311/blueskyimage131100712/23451617-business-marionette-junger-mann-in-abendkleidung-die-wie-marionetten-bewegen-vor-wei%C3%9Fem-hintergrund.jpg
Na ndiyo maana ukimsikiliza Lissu kwenye kauri zake za kampeni, kilakitu kinachobtoka kinywani mwake ni uongo uongo uongo na uzandiki mtupu. Hiyo ni dalili ya kwamba huyo mtu kichwani hana. Hana uwezo wa kukaa na kufikiri nini kifanyike ili kuleta mandeleo. Anatumia mafakio na nguvu za watu wengine ili kujionyesha kuwa anauwezo wa kufikiri wakati ukweli unamsuta. Uwezo huo hana.
Mtu kichaa utamwona tu pale anapo kandia mafaniko ya Rais Magufuli na ya nchi yake, lakini anayasifu maendeleo ya wazungu kwa kusema kuwa hayo ni takataka. Maflyover yako duniani. Ana sahau kuwa hata wao walianza taratibu mpaka wakafika huko.
Ushahidi ni huu hapa:
Mtu kama Lissu kwa wazungu anaonekana kama sokwe na kwa waafrika ni puppet na kwa watanzania ni mbwiga.
Watanzania msikubali kudanganywa na loser kama huyu. Sisi tuko kwenye mkondo sahii. Huyu ni nyoka wa maendeleo yetu. Anatumiwa na mabeberu kuturudisha sisi nyuma na hana lolote. Ni kichaa na limbukeni wa wazungu kwa manufa yao na yake yeye binafsi. Wakisha mtumia watamtupa vile vile na kumweka mwingine.
Watanzania msihofu. Sisi tuko huru na tunaweza jiamlia mambo yetu wenyewe.