Mliwasikia Kitayosce walivyosema?

Mliwasikia Kitayosce walivyosema?

Next time wayapeleke a week before..., System zetu tunazijua sisi; ukizingatia huenda TFF hawaruhusiwi kufanya haya mambo manually.....

Kwahio iwe funzo la kutokufanya vitu last minute...., Inaweza kutokea kwa watu watatu au wanne lakini sio timu nzima
kosa liko wap walikuwa ndani ya muda, watu wanafanya usajili bado sekunde dirisha kufungwa na inakubalika

ila kwetu unaweka deadline na mtu anakuwa ndani ya muda ila analaumiwa ajabu sana hii
 
kosa liko wap walikuwa ndani ya muda, watu wanafanya usajili bado sekunde dirisha kufungwa na inakubalika

ila kwetu unaweka deadline na mtu anakuwa ndani ya muda ila analaumiwa ajabu sana hii
Usajili wa Timu nzima bado sekunde ?, Wakifanya ukipita ni faida yao ila usipopita ndio hivyo mpaka upite... kwahio lazima uwe na back-up plan angalia hio extract ya true case study.....

David de Gea was on the verge of completing a deadline day move from Manchester United to Real Madrid back in 2015, but the deal fell through due to a paperwork issue.


Reports at the time suggested United had actually held up the deal due to problems with their fax machine, sparking suspicion that Old Trafford chiefs had come up with a cunning plan to keep De Gea at the club.

Los Blancos swiftly released a statement on their website insisting they had done "everything necessary in every moment" to wrap up a deal for the Spain international, which would have seen Keylor Navas head in the opposite direction to Manchester.
Shit happens kwahio sababu unajua hayo lazima uhakikishe hata kama ni wachache wanapita sekunde ya mwisho au kwa bahati mbaya hawapiti au wengine wanapita baada ya ligi kuanza, hivyo hakikisha atleast kama timu nzima ni mpya unafanya hivyo kabla ya wakati....
 
ila kwetu unaweka deadline na mtu anakuwa ndani ya muda ila analaumiwa ajabu sana hii
Yap!... Inashangaza sana ila ndio tulivyojizoeza kuwa 'linalowezekana leo lisingoje kesho'......hatupo makini kabisa.
 
Kama system ilisumbua, hao watoa verification ndio hao hao tiefu efu, kwanini wasingewapa vibali vya dharura.

Ni uhuni tu
 
Kitayose ilipanda daraja kwa figisu, hivyo naona Kuna namna ya watu kukomoana na lengo lishatimia baada ya kitayose kuuza points tatu bila kupenda.
Kitayose wanajikomoa wenyewe, wangemlipa jamaa siku zote yangewakuta haya?
 
Kama system ilisumbua, hao watoa verification ndio hao hao tiefu efu, kwanini wasingewapa vibali vya dharura.

Ni uhuni tu
Inategemea huenda vibali inabidi viwe verified online at that particular time (kusema unatoa vibali vya dharura offline) inaweza kuleta loophole kesho au keshokutwa kwamba tuliwapa kibali cha dharura kumbe umekifanya offline
 
Mimi ndiyo maana siku zote nitapaza sauti yangu kuona TFF inarejeshwa mikononi mwa wenye mpira wao, kama ilivyokuwa enzi za Leodgar Chailla Tenga.

Kuruhusu wanansiasa na makada wa ccm kujilimilikisha hili shirikisho, madhara yake ndiyo haya sasa. Jitu likijisikia tu, linafanya vile lipendavyo! Hata kama ni madudu.
Kwani wewe unachangia masa gani?

Ina maana hujaona tatizo kwa uongozi wa kitayose kufanya malipo masaa machache kabla ya mechi ila ukaona tatizo kwa tff kushindwa ku-upload majina kutokana na mtandao?

Umefikiria kwann wao walipe masaa machache kabla ya mechi?

Katika shughul yako za kawaida ushawah kukutana na challenge za kufanya jambo kqa deadline, na ulimlaumu nani?
 
kosa liko wap walikuwa ndani ya muda, watu wanafanya usajili bado sekunde dirisha kufungwa na inakubalika

ila kwetu unaweka deadline na mtu anakuwa ndani ya muda ila analaumiwa ajabu sana hii
Na deadline ilikuwa haijafika na haijafika mpaka leo maana deadline ni agosti31, hapa hoka sio tff, hao kitayose kwann wasipeleke majina mapema, kwahyo mpaka walianza safar na kufika dar kwa ajili ya mechi huku kwenye mfumo wakiwa hawana mchezaji hata mmoja, hiyo ni akili?
 
Kwa maana iyo walitaka kuwaingiza kwenye system mpk cku y mwisho kabisa.
 
Tunaongozwa na viongozi wenye uwezo mdogo na njaa kali kuliko , kama hapo media zikusema ukweli udhaifu wa tff wanafungiwa
 
Back
Top Bottom