Mliwasikia Kitayosce walivyosema?

Mliwasikia Kitayosce walivyosema?

Next time wayapeleke a week before..., System zetu tunazijua sisi; ukizingatia huenda TFF hawaruhusiwi kufanya haya mambo manually.....

Kwahio iwe funzo la kutokufanya vitu last minute...., Inaweza kutokea kwa watu watatu au wanne lakini sio timu nzima
Last-minute ditch
 
Kama ni hivyo si makosa yao kwa nini nechi isirudiwe?
 
Kama ni hivyo si makosa yao kwa nini nechi isirudiwe?
Kusubiri dakika za mwisho kutuma documents za zaidi ya nusu ya wachezaji wao wote sio kosa lao ?!!, Walikuwa wapi siku zote ?
 
Mimi ndiyo maana siku zote nitapaza sauti yangu kuona TFF inarejeshwa mikononi mwa wenye mpira wao, kama ilivyokuwa enzi za Leodgar Chailla Tenga.

Kuruhusu wanansiasa na makada wa ccm kujilimilikisha hili shirikisho, madhara yake ndiyo haya sasa. Jitu likijisikia tu, linafanya vile lipendavyo! Hata kama ni madudu.
 
Afisa habari wa klabu ya Kitayosce, Pendo Lema amesema walikuja Dar es Salaam na wachezaji (20) kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Azam football club.

Jana asubuhi walikamilsha malipo yote ya vibali vya wachezaji wao wote (TFF) wakaambiwa mtandao unasumbua hivyo wasubiri majina ya wachezaji wao yaingizwe.

Ameendelea kusema, baadae mchana wakapewa taarifa kuwa majina (8) ya wachezaji wao yameingizwa kwenye system wasubir majina mengine.

Ameeleza kuwa, wachezaji hao (8) sio wa kikosi cha kwanza ni wale waliopanda daraja na timu kutokea Championship.

Mpaka muda wa mchezo unafika amesema majina yaliyokuwa kwenye system wanaoruhusiwa kucheza yalikuwa (8) tu hivyo ikabidi waende hivyohivyo uwanjani.

Majina yote ya wachezaji wao tayari yameingizwa kwenye system mpaka sasa, ameeleza kuwa jana usiku ndio walipewa taarifa kuwa majina yote yako verified.
Kumbe
 
Afisa habari wa klabu ya Kitayosce, Pendo Lema amesema walikuja Dar es Salaam na wachezaji (20) kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Azam football club.

Jana asubuhi walikamilsha malipo yote ya vibali vya wachezaji wao wote (TFF) wakaambiwa mtandao unasumbua hivyo wasubiri majina ya wachezaji wao yaingizwe.

Ameendelea kusema, baadae mchana wakapewa taarifa kuwa majina (8) ya wachezaji wao yameingizwa kwenye system wasubir majina mengine.

Ameeleza kuwa, wachezaji hao (8) sio wa kikosi cha kwanza ni wale waliopanda daraja na timu kutokea Championship.

Mpaka muda wa mchezo unafika amesema majina yaliyokuwa kwenye system wanaoruhusiwa kucheza yalikuwa (8) tu hivyo ikabidi waende hivyohivyo uwanjani.

Majina yote ya wachezaji wao tayari yameingizwa kwenye system mpaka sasa, ameeleza kuwa jana usiku ndio walipewa taarifa kuwa majina yote yako verified.
Kama tatizo lilikuwa mfumo wa Tifuatifua kwa nini iadhibiwe timu iliyopeleka majina kwa wakati? Wangeairisha. Azam anaanza kubwebwa mchana kweupe.
 
Back
Top Bottom