joystick camih
Member
- Apr 8, 2023
- 19
- 28
Hiyo hela waliokua wanaiskilizia mahali flani hiv so jiongezeNext time wayapeleke a week before..., System zetu tunazijua sisi; ukizingatia huenda TFF hawaruhusiwi kufanya haya mambo manually.....
Kwahio iwe funzo la kutokufanya vitu last minute...., Inaweza kutokea kwa watu watatu au wanne lakini sio timu nzima