kosa liko wap walikuwa ndani ya muda, watu wanafanya usajili bado sekunde dirisha kufungwa na inakubalikaNext time wayapeleke a week before..., System zetu tunazijua sisi; ukizingatia huenda TFF hawaruhusiwi kufanya haya mambo manually.....
Kwahio iwe funzo la kutokufanya vitu last minute...., Inaweza kutokea kwa watu watatu au wanne lakini sio timu nzima
Usajili wa Timu nzima bado sekunde ?, Wakifanya ukipita ni faida yao ila usipopita ndio hivyo mpaka upite... kwahio lazima uwe na back-up plan angalia hio extract ya true case study.....kosa liko wap walikuwa ndani ya muda, watu wanafanya usajili bado sekunde dirisha kufungwa na inakubalika
ila kwetu unaweka deadline na mtu anakuwa ndani ya muda ila analaumiwa ajabu sana hii
Shit happens kwahio sababu unajua hayo lazima uhakikishe hata kama ni wachache wanapita sekunde ya mwisho au kwa bahati mbaya hawapiti au wengine wanapita baada ya ligi kuanza, hivyo hakikisha atleast kama timu nzima ni mpya unafanya hivyo kabla ya wakati....David de Gea was on the verge of completing a deadline day move from Manchester United to Real Madrid back in 2015, but the deal fell through due to a paperwork issue.
Reports at the time suggested United had actually held up the deal due to problems with their fax machine, sparking suspicion that Old Trafford chiefs had come up with a cunning plan to keep De Gea at the club.
Los Blancos swiftly released a statement on their website insisting they had done "everything necessary in every moment" to wrap up a deal for the Spain international, which would have seen Keylor Navas head in the opposite direction to Manchester.
Wabongo wanapenda kufanya mambo kwenye 'deadline'.Mda wote huo walikuwa wanasubiri nini hadi siku ya mwisho ndo wanapeleka majina TFF?
Yap!... Inashangaza sana ila ndio tulivyojizoeza kuwa 'linalowezekana leo lisingoje kesho'......hatupo makini kabisa.ila kwetu unaweka deadline na mtu anakuwa ndani ya muda ila analaumiwa ajabu sana hii
Kitayose wanajikomoa wenyewe, wangemlipa jamaa siku zote yangewakuta haya?Kitayose ilipanda daraja kwa figisu, hivyo naona Kuna namna ya watu kukomoana na lengo lishatimia baada ya kitayose kuuza points tatu bila kupenda.
Hivyo ndio virefuNaomba kirefu cha kitayose na sofapaka
Inabidi kujitoa ufahamu kwanza ndio uweze kuwatete kitayoseKama system ilisumbua, hao watoa verification ndio hao hao tiefu efu, kwanini wasingewapa vibali vya dharura.
Ni uhuni tu
Inategemea huenda vibali inabidi viwe verified online at that particular time (kusema unatoa vibali vya dharura offline) inaweza kuleta loophole kesho au keshokutwa kwamba tuliwapa kibali cha dharura kumbe umekifanya offlineKama system ilisumbua, hao watoa verification ndio hao hao tiefu efu, kwanini wasingewapa vibali vya dharura.
Ni uhuni tu
Ndio, na yeye pia akaiendeleza sababu wote ni weusi.Na laana ya kurithi ni zaidi.Hujanijibu, kwa hiyo mama yako ana laana?
Pia watendaji wa kibongo mwanzoni huchelewesha muda na kuringa sana.Wabongo wanapenda kufanya mambo kwenye 'deadline'.
Sote kama Familia kwa Pamoja Kuafikia Azimio . SofapakaNaomba kirefu cha kitayose na sofapaka
Kwani wewe unachangia masa gani?Mimi ndiyo maana siku zote nitapaza sauti yangu kuona TFF inarejeshwa mikononi mwa wenye mpira wao, kama ilivyokuwa enzi za Leodgar Chailla Tenga.
Kuruhusu wanansiasa na makada wa ccm kujilimilikisha hili shirikisho, madhara yake ndiyo haya sasa. Jitu likijisikia tu, linafanya vile lipendavyo! Hata kama ni madudu.
Na deadline ilikuwa haijafika na haijafika mpaka leo maana deadline ni agosti31, hapa hoka sio tff, hao kitayose kwann wasipeleke majina mapema, kwahyo mpaka walianza safar na kufika dar kwa ajili ya mechi huku kwenye mfumo wakiwa hawana mchezaji hata mmoja, hiyo ni akili?kosa liko wap walikuwa ndani ya muda, watu wanafanya usajili bado sekunde dirisha kufungwa na inakubalika
ila kwetu unaweka deadline na mtu anakuwa ndani ya muda ila analaumiwa ajabu sana hii
Na sio kujitoa ufaham, kuwatetea kita... katika hili ni kuthibitisha ujuha wakoInabidi kujitoa ufahamu kwanza ndio uweze kuwatete kitayose
Ipitie tena vizuri hiyo scenario then u-comment upyaTFF sijui kama kuna mtu timamu pale