Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
Jeshi la Polisi limemzuia mwenyekiti wa Chama cha CHADMA, Taifa, Freeman Mbowe kuzungumza na wananchi wa Mbozi, Mkoani Songwe, na kuwatawanya kwa mabomu wananchi waliokusanyika kumsikiliza mwenyekiti.
Kwa mujibu wa Ratiba eneo hilo lilikuwa na mkutano wa Chama cha ACT wazalendo mchana wa leo Novemba 22, 2024.
Viongozi wa Chadema wakazungumza na Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na kukubaliana kuwa muda wa asubuhi mwenyekiti wa Chama Taifa Freeman Mbowe azungumze na wananchi wa Mlowo.
Pia soma: LGE2024 - Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe
Jeshi la Polisi limemzuia mwenyekiti wa Chama cha CHADMA, Taifa, Freeman Mbowe kuzungumza na wananchi wa Mbozi, Mkoani Songwe, na kuwatawanya kwa mabomu wananchi waliokusanyika kumsikiliza mwenyekiti.
Kwa mujibu wa Ratiba eneo hilo lilikuwa na mkutano wa Chama cha ACT wazalendo mchana wa leo Novemba 22, 2024.
Viongozi wa Chadema wakazungumza na Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na kukubaliana kuwa muda wa asubuhi mwenyekiti wa Chama Taifa Freeman Mbowe azungumze na wananchi wa Mlowo.
Pia soma: LGE2024 - Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe