much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Tungekuwa na wapinzani wanaojitambua CCM tungekuwa tushawasahauBaada ya siku 2 tu za kampeni, tayari watawala washapata Picha kamili kwamba Mwisho wa CCM UMEFIKA RASMI, Sasa wameamua kuingiza Polisi na mitutu mitaani.
Tulishaonya Tangu mapema humu kwamba CCM haipo, imebaki polisi na watekaji tu.
View attachment 3158684View attachment 3158685View attachment 3158686
Nguvu za kuokoa Wahanga wa ghorofa la Kariakoo hakuna, ila ya kuumiza Raia imejaa!
Poor Polisi!