LGE2024 Mlowo: Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tungekuwa na wapinzani wanaojitambua CCM tungekuwa tushawasahau
 
Dah💔💔💔
 
Hizi gharama tunazoingia kama taifa kwenye haya maigizo ya Demokrasia kwakweli yanaligharimu sana taifa.., sio financially pekee bali rasilimali muda na resources nyinginezo bila kusahau personal wellbeing...

 
Ningekuwa Rais wa hii nchi halafu litokee janga kama la Kariakoo .
Jengo moja tu mpaka sasa kifusi lingekuwa kipo kule Jangwani na eno lingebaki safi kabisa. Waganga wote na miili ingekuwa imeshatolewa.

Simple tu natangazia vijana wa Mtaani kununua kila tofali na kipande cha NONDO kitakachotokea kwenyeJengo lililoanguka Tofali moja sh. elfu tano ,debe la kifusi elfu tatu.

Siku tatu tu pangekuwa pametakata.
 
Mbona watu wenyewe waliohudhuria wako 25 tu si angewaacha aongee nao
 
Maelekezo kutoka juu kuwathibiti wanaoona wanaweza kuwanyang'anya tonge mdomoni.
 
Chadema mnapenda kufanya kosa kwa makusudi ili mpate huruma ya wananchi .
Kweli chama kikongwe mpk leo hakijui taratibu za mkutano au ni kusudi ?
Simameni kwenye ukweli acheni siasa za kijinga
 
Mwisho wa ccm kwa juhudi, hizi hizi au. 4R zimeishia wapi ?
 
Act ni kima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…