[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Watanzania tumezidi mno uungwana. Kwahiyo jamaa anashukuru kutopigwa kama vile kafanyiwa msaada.
Kwa uungwana huu kina Chura watatutia vidole mpaka maskioni na sisi tuombe msamaha.
na ndo slagan ipo hvo apo wataona dar wameandamana inawezekana na ss tuandamaneKweli nimeamini CCM wana mbinu nyingi za kuendelea kutawala. Hii ya kuwa wapole kwa siku ya leo ni mbinu mojawapo.
Hapo ni ujanja tu ndio umetumika ili kuzuia fujo zisiwe kubwa sana na kuzua taharuki ukizingatia kwa majirani hapajatulia, hivyo Polisi wasingekuwa makini na kuwa wapole wangesababisha fujo kubwa na kuzua taharuki na ndio unakuwa hata mwanzo wa maandamano nchi nzima mana vijana wamevurugwa kwa sasa.
Hata maandamano ya nchi za Kiarabu yalikuwa yanaenda kwa kuambukizana.
Wee umbwaa converterrmrembo wangu mamboo
Mkuu mlima Kenya.Anasali na kuomba Miima Kirinyaga.
my lovely wife I miss you so much.unarudi lini nyumbani nikunyandue?😕😕😕😕Wee umbwaa converterr
Habari chungu xnaa hii kwa chama cha fujo“Tumeosha magari ya Polisi leo kwa maana wamekuja kuzuia vurugu bila kutumia nguvu yaani hakuna hata aliempiga mtu kofi kwahiyo tunalipongeza Jeshi la Polisi kwa kutuliza ghasia bila kutumia nguvu yeyote”
Victor Jushua, Mfanyabiashara Simu 2000 akiongea baada ya sakata la wamachinga kugoma leo asubuhi wakidai wanapoenda baada ya eneo walilokuwa wanafanyiwa biashara kupewa DART kujengea karakana.
View attachment 3036521
Mmachinga akiwapa maua polisi kutuliza ghasia bila kutumia nguvu
View attachment 3036523
Waandamanaji wakiosha gari la Polisi, Simu 2000
Mzungu ndio kauita Kenya.Mkuu mlima Kenya.
Acha mawazo potofu weweeChura kiziwi huko aliko anatamani yale ya kwa jirani yasitokee hapa.
We unataman yatokee ili mtuibie ...tafuta kazi punguza kubet kua na mpenzi mmojaChura kiziwi huko aliko anatamani yale ya kwa jirani yasitokee hapa.
Mkuu leo ujatoa povuuu ...Safi xnaaAcha mawazo potofu wewee
Yatatokeaje wakati ninyi Chawa mpo kazini kupumbaza Vijana?!Chura kiziwi huko aliko anatamani yale ya kwa jirani yasitokee hapa.