Mme wako akifa Utaweza kuimudu familia?

Mme wako akifa Utaweza kuimudu familia?

Hata nikidondoka leo, waifu atapambania watoto wake tu, kuna wanawake wanapambania watoto wao ili hali baba wa hao watoto wako hai, hao wanawake wanaitwa Singo mamazi, kwahiyo mwanaume akifa maisha yanaenda tu kama mwanamke sio mzembe
Hakika
 
Hapa cc wazee wakataa ndoa ,ngoja tubaki kusoma Maoni ya wake zenuu
Nilikuwa nafikiri kataa ndoa mnaishi na wanawake ila hamtaki ndoa, kumbe mnaishi peke yenu, mhm!

Kwamba mnabadilisha wanawake kila siku au mnapiga master...???
 
Nilikuwa nafikiri kataa ndoa mnaishi na wanawake ila hamtaki ndoa,.kumbe mnaishi peke yenu, mhm!
Kwamba mnabadilisha wanawake kila siku au mnapiga master...???
hao ni wahuni mkuu
 
Nina swali kwa ndugu zetu wanawake je utaweza kuimudu familia ikiwa mumeo hayupo kwa namna yoyote Ile? Au kwa Wanaume unauhakika kuwa Kama Leo au kesho ukifa au ukipata ulemavu wa kudumu mke wako ataweza kuimudu familia au itaangukia katika umaskini wakutupwa? Kama jibu Ni hapana umejipanga kuchukua Hatua gani.

Nawasilisha , Hakuna ajuaye kesho.
Sijui naishije bila yeye, ni kila kitu kwangu. Popote ulipo baba Mu nakupenda sana
 
Nina swali kwa ndugu zetu wanawake je utaweza kuimudu familia ikiwa mumeo hayupo kwa namna yoyote Ile? Au kwa Wanaume unauhakika kuwa Kama Leo au kesho ukifa au ukipata ulemavu wa kudumu mke wako ataweza kuimudu familia au itaangukia katika umaskini wakutupwa? Kama jibu Ni hapana umejipanga kuchukua Hatua gani.

Nawasilisha , Hakuna ajuaye kesho.
Kwanini iwe mwanaume
 
Nionavyo mara nyingi wanaume ndio hushindwa kuimudu familia kwenye upande wa malezi endapo mke amefariki
Mara mtoto kapelekwa kwa bibi au shangazi au mama wakambo mtoto anaishia kunyanyasika
fulu tafrani
Ila mwanamke atapambana na kulea watoto mwenyewe
 
Hata mwanaume akiwa hai baadhi ya familia mwanamke ndiye mwendesha familia
mwanaume akitoka asubuhi watoto wamelala kurudi usiku
weekend bar
hana muda wa kukaa na watoto nakutambua changamoto zinazoikabili familia
Baadhi ya wanaume umwachie mtoto hata siku 1 utakuta katoto kamepauka kameshindia juice za bakhresa na maandazi huku baba akijinadi amekula na kushiba😪
 
20241012_091721.jpg
20241012_143143.jpg
 
Na hapo ndipo unapokuja umuhimu wa uwekezaji ambao mke anaweza kuumudu.
Kuna miradi ni pasua kichwa kiasi kwamba hata mme hajui ansiendesha vp, Ila inasonga miaka na miaka
 
Back
Top Bottom