Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mkuu nimeyaona sana haya na pia naamini sana Mungu na Mungu ni mwema kila wakatiMkuu umejibu kisiasa sana.
Ni vyema ukaamini hayo lakini ukiwa katika process ya kujiandaa na yajayo.
Mi naamini hata Mungu hujidhihirisha pale kwenye juhudi binafsi.
Wengine humu hawaamini uwepo wa Mungu, ndio maana