Mdomo wangu umeuona wapi hapo? Nimetumia vidole kuandika sijatumia mdomo. Umetuuliza wanawake na Mimi kama mwanamke nimekujibu. 😂😁😂 punguzeni kujipa umuhimu msiokuwa nao.Acha mdomo
Nasisitiza jaribuni kufa muone.
Ova and out
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdomo wangu umeuona wapi hapo? Nimetumia vidole kuandika sijatumia mdomo. Umetuuliza wanawake na Mimi kama mwanamke nimekujibu. 😂😁😂 punguzeni kujipa umuhimu msiokuwa nao.Acha mdomo
Acha mdomoMdomo wangu umeuona wapi hapo? Nimetumia vidole kuandika sijatumia mdomo. Umetuuliza wanawake na Mimi kama mwanamke nimekujibu. 😂😁😂 punguzeni kujipa umuhimu msiokuwa nao.
Nasisitiza jaribuni kufa muone.
Ova and out
Acha kunitajataja tafadhali sawa?
Kama 'nakuweka' au?Oya si unaulizwa huko GENTAMYCINE
Utaweza kumudu mumeo akifa?Kama 'nakuweka' au?
Wewe 'unavyowapanulia' Kutwa huwa unawamudu?Utaweza kumudu mumeo akifa?
Wanawake wa siku hizi mmekua viburi aisee.Wewe 'unavyowapanulia' Kutwa huwa unawamudu?
DuhMume kufa umeenda mbali mno.
Jiweke mbali au niseme jitoe akili siku tatu tu, uone maajabu yatakayofanyika humo ndani.
Kufa hautajua matokeo, research will not be accomplished.
Hata yule 'anayekuweka' nae au?Wanawake wa siku hizi wamekua viburi aisee.
PointHata nikidondoka leo, waifu atapambania watoto wake tu, kuna wanawake wanapambania watoto wao ili hali baba wa hao watoto wako hai, hao wanawake wanaitwa Singo mamazi, kwahiyo mwanaume akifa maisha yanaenda tu kama mwanamke sio mzembe