Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mkuu nimeyaona sana haya na pia naamini sana Mungu na Mungu ni mwema kila wakatiMkuu umejibu kisiasa sana.
Ni vyema ukaamini hayo lakini ukiwa katika process ya kujiandaa na yajayo.
Mi naamini hata Mungu hujidhihirisha pale kwenye juhudi binafsi.
HakikaHata nikidondoka leo, waifu atapambania watoto wake tu, kuna wanawake wanapambania watoto wao ili hali baba wa hao watoto wako hai, hao wanawake wanaitwa Singo mamazi, kwahiyo mwanaume akifa maisha yanaenda tu kama mwanamke sio mzembe
Nilikuwa nafikiri kataa ndoa mnaishi na wanawake ila hamtaki ndoa, kumbe mnaishi peke yenu, mhm!Hapa cc wazee wakataa ndoa ,ngoja tubaki kusoma Maoni ya wake zenuu
hao ni wahuni mkuuNilikuwa nafikiri kataa ndoa mnaishi na wanawake ila hamtaki ndoa,.kumbe mnaishi peke yenu, mhm!
Kwamba mnabadilisha wanawake kila siku au mnapiga master...???
Sijui naishije bila yeye, ni kila kitu kwangu. Popote ulipo baba Mu nakupenda sanaNina swali kwa ndugu zetu wanawake je utaweza kuimudu familia ikiwa mumeo hayupo kwa namna yoyote Ile? Au kwa Wanaume unauhakika kuwa Kama Leo au kesho ukifa au ukipata ulemavu wa kudumu mke wako ataweza kuimudu familia au itaangukia katika umaskini wakutupwa? Kama jibu Ni hapana umejipanga kuchukua Hatua gani.
Nawasilisha , Hakuna ajuaye kesho.
Ahsante mke wangu love you too.Sijui naishije bila yeye, ni kila kitu kwangu. Popote ulipo baba Mu nakupenda sana
Kwanini iwe mwanaumeNina swali kwa ndugu zetu wanawake je utaweza kuimudu familia ikiwa mumeo hayupo kwa namna yoyote Ile? Au kwa Wanaume unauhakika kuwa Kama Leo au kesho ukifa au ukipata ulemavu wa kudumu mke wako ataweza kuimudu familia au itaangukia katika umaskini wakutupwa? Kama jibu Ni hapana umejipanga kuchukua Hatua gani.
Nawasilisha , Hakuna ajuaye kesho.
Kweli eeeh 🤔..Nionavyo mara nyingi wanaume ndio hushindwa kuimudu familia kwenye upande wa malezi endapo mke amefariki
Mara mtoto kapelekwa kwa bibi au shangazi au mama wakambo mtoto anaishia kunyanyasika
fulu tafrani
Ila mwanamke atapambana na kulea watoto mwenyewe
Nawasilisha , Hakuna ajuaye kesho.
Acha mdomoJaribuni kufa muone kama hatuwezi.
Nakukunda chane mtarajiwa wangu, Wallah!Ataweza tu, najua na nina uhakika ataweza kwani hata sasa anaweza. Yeye ni shujaa wangu kiukweli, na ndiyo maana ndiye chaguo langu.
Ova
Hongera mkuuAtaweza tu, najua na nina uhakika ataweza kwani hata sasa anaweza. Yeye ni shujaa wangu kiukweli, na ndiyo maana ndiye chaguo langu.
Ova