balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Naona Lemutuuz amewa_inspire wengi,Maurid naona naye amekuwa king of social media.Watu wengi sasa hivi wameiga maisha ya lemutuz ya kupost kila wanalofanya au kuona kwenye mitandao hasa instagram,Maulid Kitenge naye ameiga tabia hiyo anapost kila kitu afanyacho.Kwanini amekuwa hivyo sasa? Au amepata rabsha kwenye mahusiano?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app