Mmetangaza nia ya kuanza mikutano. Je, mna nini cha kutushawishi?

Mmetangaza nia ya kuanza mikutano. Je, mna nini cha kutushawishi?

chagu wa malunde,
labda uwaulize maaskofu (usisahau na mashehe).

wenzetu Chadema tayari wali act proactively bungeni lakini mbumbumbu wa chama chetu CCM (kina Musukuma & co) waliitupilia mbali hoja ya Msigwa kuhusu Corona na badala yake wakawa wanalialia kunyimwa mkopo na WB wakati sisi ni dona kantri.

pathetic!!
 
Hivi!, watakuwa wanatuambia nini kwenye majukwaa??.
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Nakuapia Mbowe alishasoma alama za nyakati na akaona hii corona lazima itafika Tanzania na akajua kabisa ikifika basi mikusanyiko ya watu wengi itapigwa marufuku ndiyo maana anatishia. Subiri kidogo siku za mbeleni atakuja kusema kama siyo ile marufuku ya corona tungeitingisha nchi.
 
Huwa unaenda dukani Kununua chakula au unaletewa,unajua wengi ula Milo mingapi Kwa siku
Uliposema njaa nikajua kwamba hapa Tz hamna uzalishaji wa chakula. Kuhusu kula milo mingapi hata enzi za Mwl ilitegemea na eneo. Kwa Dar(uswahilini) nasikia ilikuwa pasi ndefu mbili kwa siku.Ila mikoani pasi fupi fupi hata nne maana watu wanalima. Labda Dar sababu hawalimi.
 
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).

Just watch this space!
 
Uliposema njaa nikajua kwamba hapa Tz hamna uzalishaji wa chakula. Kuhusu kula milo mingapi hata enzi za Mwl ilitegemea na eneo. Kwa Dar(uswahilini) nasikia ilikuwa pasi ndefu mbili kwa siku.Ila mikoani pasi fupi fupi hata nne maana watu wanalima. Labda Dar sababu hawalimi.
Tafsiri ya njaa ni purchasing power ya watu Kununua
 
Wapeni nafasi ya kufanya mikutano ili tuone kama hawana cha kuwashawishi wananchi. Hawa ndo mastermind wa CCM na nchi yetu ya Tanzania kuelekea uchumi wa viwanda kwa mawazo haya.
 
Itapita kama operation UKUTA ilivyopita. Debe tupu......
 
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Kabla ya yote muulize Magufuli 2015 aliambulia kura ngapi ? halafu muulize akunong'oneze kisa cha kuvunja katiba na kukataza mikutano ya siasa , akikujibu njoo uniambie , hii chadema unayoiona ni noma !
 
We unajua ung'eng'e au fala tu ambaye hujitambui!

Incompetence yako ya kutokujua Kingereza isikufanye uwe na chuki na wanaojua

Ni uzembe wako binafsi

Punguza chuki na wivu,ni lugha ya kawaida tu,kajifunze!

Watanzania tuna English phobia,tukiona Kingereza tunaona mwisho wa dunia umefika

Kingereza hujui,Kiswahili pia hujui,ndio maana posts zako zina very poor Kiswahili,si ajabu hadi lugha ya kabila lako hujui pia!

Wewe hasara tupu!
 
Back
Top Bottom