M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
chagu wa malunde,
labda uwaulize maaskofu (usisahau na mashehe).
wenzetu Chadema tayari wali act proactively bungeni lakini mbumbumbu wa chama chetu CCM (kina Musukuma & co) waliitupilia mbali hoja ya Msigwa kuhusu Corona na badala yake wakawa wanalialia kunyimwa mkopo na WB wakati sisi ni dona kantri.
pathetic!!
labda uwaulize maaskofu (usisahau na mashehe).
wenzetu Chadema tayari wali act proactively bungeni lakini mbumbumbu wa chama chetu CCM (kina Musukuma & co) waliitupilia mbali hoja ya Msigwa kuhusu Corona na badala yake wakawa wanalialia kunyimwa mkopo na WB wakati sisi ni dona kantri.
pathetic!!