Mmetangaza nia ya kuanza mikutano. Je, mna nini cha kutushawishi?

Mmetangaza nia ya kuanza mikutano. Je, mna nini cha kutushawishi?

Incompetence yako ya kutokujua Kingereza isikufanye uwe na chuki na wanaojua

Ni uzembe wako binafsi

Punguza chuki na wivu,ni lugha ya kawaida tu,kajifunze!

Watanzania tuna English phobia,tukiona Kingereza tunaona mwisho wa dunia umefika

Kingereza hujui,Kiswahili pia hujui,ndio maana posts zako zina very poor Kiswahili,si ajabu hadi lugha ya kabila lako hujui pia!

Wewe hasara tupu!
Kwa nini umezisoma na kuweka comment? Ungekaa kimya ule ugali umelazimishwa?
 
Kabla ya yote muulize Magufuli 2015 aliambulia kura ngapi ? halafu muulize akunong'oneze kisa cha kuvunja katiba na kukataza mikutano ya siasa , akikujibu njoo uniambie , hii chadema unayoiona ni noma !
Ile CCM iliyopita ilichafuka hili sio siri kidogo na mlivyo wadanganya jamaa flani muunde ukawa hiyo ilisababisha mkapata vijikura. Lakini 2020 sijui itakuwaje? Kuhusu mikutano nia ilikuwa njema tufanye kazi ili kujenga nchi na matunda umeyaona Sgr,Busisi bridge,Barabara zinajengwa ,vituo vya afya na hospital. Sio kupoteza muda na kuleta propanda zinazoleta vurugu ambazo hazina maana.Fursa ya kunadi sera zenu walipewa wabunge wenu ila nao baada ya kuona uchapakazi wa JPM wengi wao wameamua kuunga juhudi.
 
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Ukisoma hoja kama hii na kuambiwa imeandikwa na mtu ambaye pengine amesoma zaidi hata ya darasa la saba na ana umri zaidi ya miaka 21 basi unaishia kulionea huruma taifa.
Unapata ufahamu kwa nini watu RAIA wa nchi kama Kenya au Uganda wanatudharau sana pale tuu usemapo unatoka Tanzania. Kwa nini mleta mada mnapenda kutuaibisha Watanzania kuwa nchi ya wajinga wakati ni nyie wachache?
Jee ni hizo buk7 mnazopewa na Chakubanga? Hivi hali ya maisha ya watanzania awamu hii ya tano ilivyo mbaya huioni hadi useme kina Mbowe hawana agenda? Uko wapi wewe hata kama ni mjinga usione?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisoma hoja kama hii na kuambiwa imeandikwa na mtu ambaye pengine amesoma zaidi hata ya darasa la saba na ana umri zaidi ya miaka 21 basi unaishia kulionea huruma taifa.
Unapata ufahamu kwa nini watu RAIA wa nchi kama Kenya au Uganda wanatudharau sana pale tuu usemapo unatoka Tanzania. Kwa nini mleta mada mnapenda kutuaibisha Watanzania kuwa nchi ya wajinga wakati ni nyie wachache?
Jee ni hizo buk7 mnazopewa na Chakubanga? Hivi hali ya maisha ya watanzania awamu hii ya tano ilivyo mbaya huioni hadi useme kina Mbowe hawana agenda? Uko wapi wewe hata kama ni mjinga usione?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hoja mna nini cha kutushawishi? Na Chakubanga ndio nani?
 
Kwa nini umezisoma na kuweka comment? Ungekaa kimya ule ugali umelazimishwa?

Umeziandika na kuweka kwenye public space

Ili sisi public tusome na kuzijibu

Na mimi ni mmojawapo wa public

Hivyo nilisoma na kuzijibu maana ni wajibu wangu kama public

Ungeziweka private usingetuona sisi public

Pia punguza wivu kwa aliekuzidi Kingereza

Ni lugha tu,punguza chuki za kimama namna hii

Na hivi hapa kuna ugali nani kapika?

Stop this nonsense wewe
 
Umeziandika na kuweka kwenye public space

Ili sisi public tusome na kuzijibu

Na mimi ni mmojawapo wa public

Hivyo nilisoma na kuzijibu maana ni wajibu wangu kama public

Ungeziweka private usingetuona sisi public

Pia punguza wivu kwa aliekuzidi Kingereza

Ni lugha tu,punguza chuki za kimama namna hii

Na hivi hapa kuna ugali nani kapika?

Stop this nonsense wewe
Umeziandika na kuweka kwenye public space

Ili sisi public tusome na kuzijibu

Na mimi ni mmojawapo wa public

Hivyo nilisoma na kuzijibu maana ni wajibu wangu kama public

Ungeziweka private usingetuona sisi public

Pia punguza wivu kwa aliekuzidi Kingereza

Ni lugha tu,punguza chuki za kimama namna hii

Na hivi hapa kuna ugali nani kapika?

Stop this nonsense wewe
Kiingereza kitanisaidia nini?
 
Ajenda kuu ni mademu zetu wamepigwa na askari magereza hahàaaaaa , mwenyekiti kaonewa kanyolewa tako magereza hahaaaa........safari hii kazi sana huko chandumu.
 
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Ndugu zetu chadema wabadilike bana.WaTZ si wadanganyika tena kushibisha matumbo yao kwa maaigizo ya bongo movies zao ambazo zinaonekana waziwazi
 
Kiingereza kitanisaidia nini?

Mpaka leo hujui Kingereza kitakusaidia nini?

Hivi unaelewa huombi kazi popote kwenye jamhuri hii bila kuandika barua kwa Kingereza?

Hujui ni wajibu wa kila mtoto kusoma kwa Kingereza kitupu kuanzia Form One mpaka PHD?Bila Kingereza huruhusiwi kusoma kwenye hii Jamhuri?

Hakuna hukumu inaadikwa kwa Kiswahili kwenye jamhuri hii.Hukumu zote ni lazima zinadikwe kwa Kingereza!

Hujui kua ukitaka kuagiza au kununua kitu chochote nje ya nchi ni lazima mawasiliano yawe ya Kingereza?Hujui hili?

Hakuna Tender nchi hii inaandikwa kwa Kiswahili zote ni sharti ziwe za Kingereza.Hili hujui?

Mikataba yote kati ya Taasisi zote za serikali na yeyote wa ndani na nje ya nchi ni lazima iandikwe kwa Kingereza na sio Kiswahili.Hivi unaelewa hili?

Na mengine mengi!

Hivi kwenye ubongo wako kumejaa mavi au brains?

Wewe jamaa ni hasara kabisa!
 
Mpaka leo hujui Kingereza kitakusaidia nini?

Hivi unaelewa huombi kazi popote kwenye jamhuri hii bila kuandika barua kwa Kingereza?

Hujui ni wajibu wa kila mtoto kusoma kwa Kingereza kitupu kuanzia Form One mpaka PHD?Bila Kingereza huruhusiwi kusoma kwenye hii Jamhuri?

Hakuna hukumu inaadikwa kwa Kiswahili kwenye jamhuri hii.Hukumu zote ni lazima zinadikwe kwa Kingereza!

Hujui kua ukitaka kuagiza au kununua kitu chochote nje ya nchi ni lazima mawasiliano yawe ya Kingereza?Hujui hili?

Hakuna Tender nchi hii inaandikwa kwa Kiswahili zote ni sharti ziwe za Kingereza.Hili hujui?

Mikataba yote kati ya Taasisi zote za serikali na yeyote wa ndani na nje ya nchi ni lazima iandikwe kwa Kingereza na sio Kiswahili.Hivi unaelewa hili?

Na mengine mengi!

Hivi kwenye ubongo wako kumejaa mavi au brains?

Wewe jamaa ni hasara kabisa!
Acha upuuzi.Wafanyabiashara 90% ni std seven kila siku wanaenda China na wanaleta mizigo. Sasa mimi mkulima wa mahindi unaniletea habari za kazi na tender. Use your brain perfectly! Acha kukariri
 
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Ukisikiza maneno ya huyu mzee ndo utaifahamu vizuri chadema [emoji116]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada Umeuliza swali zuri,uwe na subira kusikiliza watalokushawishi
 
Ile CCM iliyopita ilichafuka hili sio siri kidogo na mlivyo wadanganya jamaa flani muunde ukawa hiyo ilisababisha mkapata vijikura. Lakini 2020 sijui itakuwaje? Kuhusu mikutano nia ilikuwa njema tufanye kazi ili kujenga nchi na matunda umeyaona Sgr,Busisi bridge,Barabara zinajengwa ,vituo vya afya na hospital. Sio kupoteza muda na kuleta propanda zinazoleta vurugu ambazo hazina maana.Fursa ya kunadi sera zenu walipewa wabunge wenu ila nao baada ya kuona uchapakazi wa JPM wengi wao wameamua kuunga juhudi.
Ungejua bei wanayolipwa wanaonunuliwa ungejiona bwege sana ! Magufuli angefanya hayo maendeleo unayoyanadi hapa angekuwa anatetemeka akiisikia Chadema ?
 
Hawa ni wahuni tu wanataka kutupora mtaani! Wakitoa pua tu FFU wawakung'ute mpaka wapoteane! This time wasiishie kuvunja mikono tu nyambafu hawa! Hapa tunatafakari namna ya okupambanaa na coronavirus wao wanapanga kutupora!
Mporwe mna nini nyie CCM wakati mnakaa mabondeni huko.ndio maana waliojenga vibanda mto Msimbazi hawakuvunjiwa...ila mansions za Kimara na Kibamba zikavunnjwa..nyambafu
 
Mporwe mna nini nyie CCM wakati mnakaa mabondeni huku..ndio maana waliiojenga vibanda mto Msimbazi hawakuvunjiwq..ila mansions za Kimara na Kibamba zikavunnjwa..nyambafu
Kama ccm hatuna kitu iweje nyie ambao hata makao makuu yeni mmepanga! Ndio maana tunajiogopea kuporwa na makanjanja nyie wa chadema maana hata ofisi tu hamna wahuni watupu ninyi!
 
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Jifunze kwanza matumizi ya mabano,hayo mengine yote ni ujinga wako kutojua matatizo yaliyomo nchini mwako wakati ww na nduguzo mnateseka na maisha
 
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
SOMA UELIMIKE
 
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.

Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)

Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k

Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.

Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)

Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).

Waulize wanao wazuia
 
Back
Top Bottom