Kwa haya, majibu yako wazi na yanaonekana#Ajira.....
#Ml 50 kila kijiji
#Kupandisha mishahara?& madaraja kwa watumishi
# Laptop kwa walimu
# Kudhibiti ufisadi & Rushwa
Tiririka mengineeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Haya unaweza kuyathibitisha? Maana kama chakula nchi za jirani zote wananunua chakuka Tzchagu wa malunde,
Njaa,Kilimo, wasiojulikana, dabo standard, umasikini, ajira, maslai ya watumishi, diplomasia,
Huwa unaenda dukani Kununua chakula au unaletewa,unajua wengi ula Milo mingapi Kwa sikuHaya unaweza kuyathibitisha? Maana kama chakula nchi za jirani zote wananunua chakuka Tz
Nakuapia Mbowe alishasoma alama za nyakati na akaona hii corona lazima itafika Tanzania na akajua kabisa ikifika basi mikusanyiko ya watu wengi itapigwa marufuku ndiyo maana anatishia. Subiri kidogo siku za mbeleni atakuja kusema kama siyo ile marufuku ya corona tungeitingisha nchi.Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Uliposema njaa nikajua kwamba hapa Tz hamna uzalishaji wa chakula. Kuhusu kula milo mingapi hata enzi za Mwl ilitegemea na eneo. Kwa Dar(uswahilini) nasikia ilikuwa pasi ndefu mbili kwa siku.Ila mikoani pasi fupi fupi hata nne maana watu wanalima. Labda Dar sababu hawalimi.Huwa unaenda dukani Kununua chakula au unaletewa,unajua wengi ula Milo mingapi Kwa siku
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Watu hajui ung'eng'e alafu unasumbua tu. Space gani sasa tuiangalie?Just watch this space!
Tafsiri ya njaa ni purchasing power ya watu KununuaUliposema njaa nikajua kwamba hapa Tz hamna uzalishaji wa chakula. Kuhusu kula milo mingapi hata enzi za Mwl ilitegemea na eneo. Kwa Dar(uswahilini) nasikia ilikuwa pasi ndefu mbili kwa siku.Ila mikoani pasi fupi fupi hata nne maana watu wanalima. Labda Dar sababu hawalimi.
Watu hajui ung'eng'e alafu unasumbua tu. Space gani sasa tuiangalie?
We unajua ung'eng'e au fala tu ambaye hujitambui!Mimi kuongea Kiingereza imekuuma sana?
Jifunze Kiingereza acha ku-project your own ignorance to other people!
Ndio,kama wakati wa Dk Slaa
Kabla ya yote muulize Magufuli 2015 aliambulia kura ngapi ? halafu muulize akunong'oneze kisa cha kuvunja katiba na kukataza mikutano ya siasa , akikujibu njoo uniambie , hii chadema unayoiona ni noma !Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
We unajua ung'eng'e au fala tu ambaye hujitambui!