Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #41
Kwa nini umezisoma na kuweka comment? Ungekaa kimya ule ugali umelazimishwa?Incompetence yako ya kutokujua Kingereza isikufanye uwe na chuki na wanaojua
Ni uzembe wako binafsi
Punguza chuki na wivu,ni lugha ya kawaida tu,kajifunze!
Watanzania tuna English phobia,tukiona Kingereza tunaona mwisho wa dunia umefika
Kingereza hujui,Kiswahili pia hujui,ndio maana posts zako zina very poor Kiswahili,si ajabu hadi lugha ya kabila lako hujui pia!
Wewe hasara tupu!
Ile CCM iliyopita ilichafuka hili sio siri kidogo na mlivyo wadanganya jamaa flani muunde ukawa hiyo ilisababisha mkapata vijikura. Lakini 2020 sijui itakuwaje? Kuhusu mikutano nia ilikuwa njema tufanye kazi ili kujenga nchi na matunda umeyaona Sgr,Busisi bridge,Barabara zinajengwa ,vituo vya afya na hospital. Sio kupoteza muda na kuleta propanda zinazoleta vurugu ambazo hazina maana.Fursa ya kunadi sera zenu walipewa wabunge wenu ila nao baada ya kuona uchapakazi wa JPM wengi wao wameamua kuunga juhudi.Kabla ya yote muulize Magufuli 2015 aliambulia kura ngapi ? halafu muulize akunong'oneze kisa cha kuvunja katiba na kukataza mikutano ya siasa , akikujibu njoo uniambie , hii chadema unayoiona ni noma !
Ukisoma hoja kama hii na kuambiwa imeandikwa na mtu ambaye pengine amesoma zaidi hata ya darasa la saba na ana umri zaidi ya miaka 21 basi unaishia kulionea huruma taifa.Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Jibu hoja mna nini cha kutushawishi? Na Chakubanga ndio nani?Ukisoma hoja kama hii na kuambiwa imeandikwa na mtu ambaye pengine amesoma zaidi hata ya darasa la saba na ana umri zaidi ya miaka 21 basi unaishia kulionea huruma taifa.
Unapata ufahamu kwa nini watu RAIA wa nchi kama Kenya au Uganda wanatudharau sana pale tuu usemapo unatoka Tanzania. Kwa nini mleta mada mnapenda kutuaibisha Watanzania kuwa nchi ya wajinga wakati ni nyie wachache?
Jee ni hizo buk7 mnazopewa na Chakubanga? Hivi hali ya maisha ya watanzania awamu hii ya tano ilivyo mbaya huioni hadi useme kina Mbowe hawana agenda? Uko wapi wewe hata kama ni mjinga usione?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini umezisoma na kuweka comment? Ungekaa kimya ule ugali umelazimishwa?
Umeziandika na kuweka kwenye public space
Ili sisi public tusome na kuzijibu
Na mimi ni mmojawapo wa public
Hivyo nilisoma na kuzijibu maana ni wajibu wangu kama public
Ungeziweka private usingetuona sisi public
Pia punguza wivu kwa aliekuzidi Kingereza
Ni lugha tu,punguza chuki za kimama namna hii
Na hivi hapa kuna ugali nani kapika?
Stop this nonsense wewe
Kiingereza kitanisaidia nini?Umeziandika na kuweka kwenye public space
Ili sisi public tusome na kuzijibu
Na mimi ni mmojawapo wa public
Hivyo nilisoma na kuzijibu maana ni wajibu wangu kama public
Ungeziweka private usingetuona sisi public
Pia punguza wivu kwa aliekuzidi Kingereza
Ni lugha tu,punguza chuki za kimama namna hii
Na hivi hapa kuna ugali nani kapika?
Stop this nonsense wewe
Ndugu zetu chadema wabadilike bana.WaTZ si wadanganyika tena kushibisha matumbo yao kwa maaigizo ya bongo movies zao ambazo zinaonekana waziwaziKamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Kiingereza kitanisaidia nini?
Acha upuuzi.Wafanyabiashara 90% ni std seven kila siku wanaenda China na wanaleta mizigo. Sasa mimi mkulima wa mahindi unaniletea habari za kazi na tender. Use your brain perfectly! Acha kukaririMpaka leo hujui Kingereza kitakusaidia nini?
Hivi unaelewa huombi kazi popote kwenye jamhuri hii bila kuandika barua kwa Kingereza?
Hujui ni wajibu wa kila mtoto kusoma kwa Kingereza kitupu kuanzia Form One mpaka PHD?Bila Kingereza huruhusiwi kusoma kwenye hii Jamhuri?
Hakuna hukumu inaadikwa kwa Kiswahili kwenye jamhuri hii.Hukumu zote ni lazima zinadikwe kwa Kingereza!
Hujui kua ukitaka kuagiza au kununua kitu chochote nje ya nchi ni lazima mawasiliano yawe ya Kingereza?Hujui hili?
Hakuna Tender nchi hii inaandikwa kwa Kiswahili zote ni sharti ziwe za Kingereza.Hili hujui?
Mikataba yote kati ya Taasisi zote za serikali na yeyote wa ndani na nje ya nchi ni lazima iandikwe kwa Kingereza na sio Kiswahili.Hivi unaelewa hili?
Na mengine mengi!
Hivi kwenye ubongo wako kumejaa mavi au brains?
Wewe jamaa ni hasara kabisa!
Ukisikiza maneno ya huyu mzee ndo utaifahamu vizuri chadema [emoji116]Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Ungejua bei wanayolipwa wanaonunuliwa ungejiona bwege sana ! Magufuli angefanya hayo maendeleo unayoyanadi hapa angekuwa anatetemeka akiisikia Chadema ?Ile CCM iliyopita ilichafuka hili sio siri kidogo na mlivyo wadanganya jamaa flani muunde ukawa hiyo ilisababisha mkapata vijikura. Lakini 2020 sijui itakuwaje? Kuhusu mikutano nia ilikuwa njema tufanye kazi ili kujenga nchi na matunda umeyaona Sgr,Busisi bridge,Barabara zinajengwa ,vituo vya afya na hospital. Sio kupoteza muda na kuleta propanda zinazoleta vurugu ambazo hazina maana.Fursa ya kunadi sera zenu walipewa wabunge wenu ila nao baada ya kuona uchapakazi wa JPM wengi wao wameamua kuunga juhudi.
Mporwe mna nini nyie CCM wakati mnakaa mabondeni huko.ndio maana waliojenga vibanda mto Msimbazi hawakuvunjiwa...ila mansions za Kimara na Kibamba zikavunnjwa..nyambafuHawa ni wahuni tu wanataka kutupora mtaani! Wakitoa pua tu FFU wawakung'ute mpaka wapoteane! This time wasiishie kuvunja mikono tu nyambafu hawa! Hapa tunatafakari namna ya okupambanaa na coronavirus wao wanapanga kutupora!
Kama ccm hatuna kitu iweje nyie ambao hata makao makuu yeni mmepanga! Ndio maana tunajiogopea kuporwa na makanjanja nyie wa chadema maana hata ofisi tu hamna wahuni watupu ninyi!Mporwe mna nini nyie CCM wakati mnakaa mabondeni huku..ndio maana waliiojenga vibanda mto Msimbazi hawakuvunjiwq..ila mansions za Kimara na Kibamba zikavunnjwa..nyambafu
Jifunze kwanza matumizi ya mabano,hayo mengine yote ni ujinga wako kutojua matatizo yaliyomo nchini mwako wakati ww na nduguzo mnateseka na maishaKamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
SOMA UELIMIKEKamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).
Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi.
Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)
Kwa namna Chama tawala kilivyojitahidi kusafisha makosa yake kwa kudhibiti rushwa, ubadhilifu, kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma na kujenga miundombinu ikiwemo miradi kama Sgr, JNHHP n.k
Nauliza hawa Chadema watakuwa na sera gani ya kuwashawishi wananchi ili wawe na imani nao kama zamani? Maana ilipotoka ile orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga chini ya Dk. Slaa, Chadema ilipata kick na ikaonekana kama chama cha ukombozi.
Leo hii wananchi hawana imani nao tena. Hasa lilipotokea lile tukio la kubadili gia angani na Dk akaamua kujiengua(wanaonekana kama wahuni tu)
Isiwe ikawa ni hulka tu ya kamanda mkuu kuwa anafurahi watu wakipigwa risasi (walalahoi) maana kwa amri aliyoitoa mkuu wa nchi na yeye anasema ataingia kwa lazima kumwaga sera huenda damu za watu ambao hata hawanufaiki na siasa za Bongo zikamwagika (kumbukeni lile tukio Morogoro).