Mmetangaza nia ya kuanza mikutano. Je, mna nini cha kutushawishi?

Wewe bwege hasa,maisha magumu haya CCM imefanya nini?
Wananchi wanakula SGR? hujielewi kabisa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee ni changu hivyo endelea kujiuza hadi vyombo vya uzazi vizeeke!
 
Acha upuuzi.Wafanyabiashara 90% ni std seven kila siku wanaenda China na wanaleta mizigo. Sasa mimi mkulima wa mahindi unaniletea habari za kazi na tender. Use your brain perfectly! Acha kukariri

Hao si wafanyabiashara ni wachuuzi

Na huko China wanaongea Kiswahili?

Mbuzi wewe

Na Emails wanaandika kwa Kiswahili?

Kiazi wewe

Na Miakataba wanaandika kwa Kisukuma

Mapumba wewe

Kasome huko mwehu wewe
 

Nina wasiwasi na uwezo wako wa kuchambua mambo. Rudi darasa la awali mara tu shule zitakapofunguliwa. Haujachelewa bado, na elimu haina mwisho.
 
Usiseme wananchi hawana imani. Sema wew na familia yako mkuu. Haya hawana jipya basi kaa kutulia sisi tunaona wana jipya tutahudhuria.
umepata mda wa kumjibu huyu HAYAWANI wa lumumba?
Hii mijitu inayoua watu na kupeleka coco beach
 

1. muonyeshe kaburi la ben saa 8

2. kaburi la kangoye na azory

3. NYUMBA ZA SERIKALI MRUDISHE

4. VIWANJA VYA MPIRA NA PUBLIC SPACE MRUDISHE

5. MIUACHE KUTUMIA SHEHE MKUU KISIASA.

6. VIKAO VYA CHAMA IKULU, huu ni uhalifu
 
1. muonyeshe kaburi la ben saa 8

2. kaburi la kangoye na azory

3. NYUMBA ZA SERIKALI MRUDISHE

4. VIWANJA VYA MPIRA NA PUBLIC SPACE MRUDISHE

5. MIUACHE KUTUMIA SHEHE MKUU KISIASA.

6. VIKAO VYA CHAMA IKULU, huu ni uhalifu
Ndio ajenda zitakazowapa kick?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…