matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Yani jamaa anakuroga usahau au uwe unahairisha kila ukitaka kuchukua hatua.
Nilikutana na mganga flani akawa ananipa story yaani hata kama mtu anakesi ya kuua anaweza kumfanya hata Mahakama au ndugu wanaomshtaki wasifuatilie kesi.
Nimesikia kuna maeneo pwani ukilima Shamba ukikaribia kuvuna unapgwa juju hii unachukia Shamba hadi jamaa wamalize kuvuna na hadi wanaliuza ila kila ukitaka kwenda unasahau. Hii nilidokezewa na Dalali mmoja nikisubiri bus Bagamoyo stand.
Wafanya biashara nao nasikia huwa wanawaroga wale jamaa wa Mikopo ili wasifuatilie Mikopo waliokopa.
Kuna madalali wanakuuzia Kiwanja au Nyumba unalipa alafu wanakuloga usiende kisha wanauza tena.
Wakuu hii kitu imekaaje. Imenifanya niliona nasitasita kwenye kitu najilazimisha nikiogopa jamaa wasijekuwa wamefanya yao.
Nilikutana na mganga flani akawa ananipa story yaani hata kama mtu anakesi ya kuua anaweza kumfanya hata Mahakama au ndugu wanaomshtaki wasifuatilie kesi.
Nimesikia kuna maeneo pwani ukilima Shamba ukikaribia kuvuna unapgwa juju hii unachukia Shamba hadi jamaa wamalize kuvuna na hadi wanaliuza ila kila ukitaka kwenda unasahau. Hii nilidokezewa na Dalali mmoja nikisubiri bus Bagamoyo stand.
Wafanya biashara nao nasikia huwa wanawaroga wale jamaa wa Mikopo ili wasifuatilie Mikopo waliokopa.
Kuna madalali wanakuuzia Kiwanja au Nyumba unalipa alafu wanakuloga usiende kisha wanauza tena.
Wakuu hii kitu imekaaje. Imenifanya niliona nasitasita kwenye kitu najilazimisha nikiogopa jamaa wasijekuwa wamefanya yao.