Mmewahi kukumbana na uchawi wa kusahaulishwa

Mmewahi kukumbana na uchawi wa kusahaulishwa

Kuna sehemu mkoa wa pwani tulinunua mashamba mwaka 2017, tukasahau eneo lenyewe hadi aliyeuza na kila tukitaka na kupanga kwenda yale maeneo tunasahau.
 
Watu wa Bagamoyo siyo watu wazuri, unanunua kiwanja ama shamba halafu hurudi... ilitutokea mimi na rafiki yangu, tukanunua maeneo makurunge halafu hatukuwahi kurudi mpaka leo zaidi ya miaka 5, sidhani hata napakumbuka vizuri.
Dah! Hata mimi mkuu nimenunua maeneo hayo karibu na njia ya kwenda sadani heka 12 mwaka 2016, baada ya kumaliza kulipia na dokumenti zote ninazo ila kila nikisema naenda kuliangalia hadi leo sijawahi, na hapo nshatuma ela likalimwa lote likapandwa miogo na mahindi hadi tuligombana na wife baada ya ahadi za kwenda kulitembelea kuahirishwa, siku moja akaniambia anahisi kuna mchezo umefanyika,
Huwezi amini na namba ya alieniuzia na kulisafisha ninazo hadi sasa hivi, lkn kila nkisema nawapigia nasahau tu ovyo
 
Dah! Hata mimi mkuu nimenunua maeneo hayo karibu na njia ya kwenda sadani heka 12 mwaka 2016, baada ya kumaliza kulipia na dokumenti zote ninazo ila kila nikisema naenda kuliangalia hadi leo sijawahi, na hapo nshatuma ela likalimwa lote likapandwa miogo na mahindi hadi tuligombana na wife baada ya ahadi za kwenda kulitembelea kuahirishwa, siku moja akaniambia anahisi kuna mchezo umefanyika,
Huwezi amini na namba ya alieniuzia na kulisafisha ninazo hadi sasa hivi, lkn kila nkisema nawapigia nasahau tu ovyo
Utakuta washauza mkuu, chezea watu wa bagamoyo wewe
 
Huwezi amini nina zaidi ya miezi sita sijawahi hata kulikumbuka, nimelikumbuka baada ya kusoma hiyo post[emoji23][emoji23]
Washakufanyia mambo, sisi tulilipa milion 4 na laki nane lak nne tuamtumia kwenye simu yani jumla milioni tano laki mbili. Tulipotoka mpaka leo hatukuwahi rudi kabisa.
 
Washakufanyia mambo, sisi tulilipa milion 4 na laki nane lak nne tuamtumia kwenye simu yani jumla milioni tano laki mbili. Tulipotoka mpaka leo hatukuwahi rudi kabisa.
Aisee sio watu wazuri kabisa, mi nilinunua heka 1 laki 4 na nusu sawa na 5.4ml, pamoja na kulima na mengineyo ml6 iliishia hapo kumbe mauza uza tu.
 
Aisee usikute na mimi hii kitu ndio imenipata..? Kuna jamaa tulifungua nae biashara flani miaka zaidi ya 7 iliyopita. Miaka ya mwanzoni biashara yetu ikawa inafanya vizuri na tunagawana faida fresh kabisa. Ghafla baada ya kama miaka miwili mitatu mimi nikaacha kabisa kufuatilia mambo ya ile biashara na mpaka leo sijawahi kuhangaika tena kujua ni nini kinaendelea pale japo napita hiyo mitaa mara nyingi tu na biashara bado ipo palepale na inaendelea vizuri tuu. Kila nikipita naiangalia tu ila sitamani kabisa kuingia hapo wala kuulizia kinachoendelea najiambia ntakuja siku nyingine! Jamaa hua tunaonana tunasalimiana vizuri tu yeye anapita na mimi napita kama vile hakuna chochote cha ajabu.
 
Nimepanga kesho nawapigia watu wa kule akiwemo alieniuzia, ngoja nione kama ntasahau tena[emoji23][emoji23][emoji23]
ulete mrejesho. ukipiga tu anaenda kazia dawa kama imeisha nguvu 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁
 
Kuna mazs flani ni mkopaji mzuri sana na akitaka kitu roho ya kumkatalia haipo. Yani hua najikoki nasema leo ndio leo lazima anilipe nakua na mahasira full nikifika kwake ananipokea vzr ananipa chai basi tunapiga story wee hata pesa yangu nashindwa kumuuliza yani hadi mwisho mwenyewe ananiambia sorry mami pesa yako sijasahau nakutafutia. Basi naridhika naondoka. Hapa bado namdai zaidi ya laki kunilipa majaliwa .
 
Kuna mazs flani ni mkopaji mzuri sana na akitaka kitu roho ya kumkatalia haipo. Yani hua najikoki nasema leo ndio leo lazima anilipe nakua na mahasira full nikifika kwake ananipokea vzr ananipa chai basi tunapiga story wee hata pesa yangu nashindwa kumuuliza yani hadi mwisho mwenyewe ananiambia sorry mami pesa yako sijasahau nakutafutia. Basi naridhika naondoka. Hapa bado namdai zaidi ya laki kunilipa majaliwa .
Naitwa Dula Kiroba hua nakodiwa katika kudai madeni. Niite nikuhudumie.
 
Nimepanga kesho nawapigia watu wa kule akiwemo alieniuzia, ngoja nione kama ntasahau tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu vipi, kwani umeshafanikiwa kukumbuka kuwapigia?😀😀
 
Mie naona Rais wetu wa zamani, Jiwe kapigwa hii kitu mpaka alisahau mialiko ya Ulaya, UNGA, USA, hata marafiki zetu China amesahau kwenda kugema?
jamani!!! UNGA ndo sehemu ya Rais kutia mbwembwe na kujidai pale! lkn Magu hapajui ni wapi! ndo basi tena!!!

Lissu anaenda km Rais mpya sijui Jiwe ataficha sura yake wapi jamani? naomba tu msimlipizie jiwe, awe huru ale chakula mpaka avembewe si anataka mali? mjazieni lami mpaka chumbani,
 
😁😁😁 huu uzi kiboko ila kuna ndugu yangu mmoja alikuwa na kesi ya mauaji asee wazee walipambana wakapewa dawa ya kutafuna mzizi jamaa alitoka kesi imeisha hana hatia
 
Nilinunua kiwanda cha kuchakata nyama ya kuku bagamoyo lakini miaka tisaa imepita nishasahau yaani huu Uzi ndo umenikumbusha
 
Back
Top Bottom