Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
. Apo tumia tu mbinu za kivita ..😀😀We acha ukimpigia utasikia njoo ofcn,njiani nimepanga leo ndio leo nikifika aaah mpoleee ananipiga sound naondoka..naona na yeye anayo zamwamwa yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. Apo tumia tu mbinu za kivita ..😀😀We acha ukimpigia utasikia njoo ofcn,njiani nimepanga leo ndio leo nikifika aaah mpoleee ananipiga sound naondoka..naona na yeye anayo zamwamwa yule
Wakati mwingine kama utani ila yanatokeaAisee
Hao wala sio wazigua ila ndo jamii zao wanatokea huko huko kwa waziguaWazigua kumbe ndio washenzi hivi!
. Apo tumia tu mbinu za kivita ..😀😀
. But kama huyo jamaa ni jamii ya sumbawanga achana naeKabisa
Siwezi aiseeee pesa ngumu Sana kwa Sasa hapo Bora aninyonge. But kama huyo jamaa ni jamii ya sumbawanga achana nae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa saut iusikuKuna bosi wetu mhindi alikua ana mtindo wa kuturudisha kwa gari hadi Victoria tulikua tunapita Kkoo almost daily.
Kuna siku gari ikapata pancha tukiwa hapo Kkoo. Tukasogeza gari pembeni kwenye uwanja wa nyumba ambayo wamiliki ni waarabu au wazenji.
Tukatoka kwenda kutafuta mtu wa pancha. Tumefika mbele bosi akasema tuwahi ofisini turudi baadaye, baadaye akasema kesho. Kesho akasema kesho.
Ikakata wiki.
Mkewe akatuhimiza tukamuonyeshe nyumba tukafunga safari, tumefika lile eneo mke akasema ngoja nikachukue vocha dukani, tulivyofika dukani akanunua soda tumekunywa tulivyomaliza akasema tuwahi nyumbani tutarudi kesho.
Mpaka naacha pale kazi ilikua miezi miwili lile gari halikufuatwa.
Miaka minne mbele work mate wangu ananiambia lile gari halikufuatwa. Ila mkipita Kkoo bosi atasema halafu pale niliacha gari langu, kesho nalifuata. Na hafuati.
Kuna mmoja alimloga baba mwenye nyumba wake jamaa akasahau nyumba yake kwa miaka 8
Kimara mwisho hii kitu though ni hear say
Daaaah izo dawa zipo mkuu ...siku moja nipo na babu shambani tunalima akanionyesha mzizi flan hiv ..ambao alisema hata ukiwa na kesi sehemu basi ukifika pale yule jamaa ataomba mpatane kwa aman so hiv vitu vipo Africa
Uchawi haupo,uchawi ni akili zako.
Nikupe dawa ya kudhibiti hali hiyo?.Wala haina gharama.Ni kumwini Mungu,kumtegemea yeye maana yake Usali sana kila wakati,Ondoa uoga,acha kuogopa vitu ambavyo havina nguvu,vipo sawa lkn havina nguvu yoyote,usiruhusu akili yako iogope uchawi.we bisha tu humu JF, mimi nimewahi kuamka geto usiku nakuta watu pembeni ya kitanda wanaimba alafu ni usiku nawaona kabisa taa inawaka walipotea ghafla.mimi nimeuona kwa macho acha wale watu wa story za kuadithiwa i have seen it with my own eyes na imeniathili mpaka leo na utu uzima huu naogopa kulala peke yangu
Upo lkn msiuhusudu kiasi hicho,binafsi siogopi uchawi ila naogopa kuwekeza akili yangu kwenye ushirikina badala ya Kumtumainia Mungu tu .Uchawi upo, kwangu mm huu uchawi wa kuona mtu yeyote aliyeko sehemu yoyote kwa mda wowote bado unanitisha sana,tena screen inatokea mawinguni,yaani dunia ina mambo.
Wazigua wanapatikana Tanga?Mkuu Mimi nimeshuhudia na nina uhakika na hii kitu...basi ngja nigeneralize kwa kusema uchawi wa kizigua una uwezo wa kufuta form zote za ushahidi ikiwemo na hizo documents za upelelezi tena ikiwezekana kumsahaulisha kabisa mpelelezi wa kesi yako
Nani achague ccm kwa Tanzania hii, labda wenye ujinga kama wako, vizuri watu kama wewe ni wachache sana kwa Tanzania ya sasa hivi.Acha ugoro bro. CCM itashinda sio issue ila hapa ni Habari mchanganyiko.
mkuu leta stori vizuri tujifunzewe bisha tu humu JF, mimi nimewahi kuamka geto usiku nakuta watu pembeni ya kitanda wanaimba alafu ni usiku nawaona kabisa taa inawaka walipotea ghafla.mimi nimeuona kwa macho acha wale watu wa story za kuadithiwa i have seen it with my own eyes na imeniathili mpaka leo na utu uzima huu naogopa kulala peke yangu