Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Hamna kitu mkuu.Subiri kuna uzi ninauandaa,utanielewa.Bado hayajakukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu mkuu.Subiri kuna uzi ninauandaa,utanielewa.Bado hayajakukuta
Angalau saiv kunabadilika zamani ilikuwa ikifika saa nne usiku mbuzi kama 50 ivi wanajichunga wenyewe barabarani na hawapishi gari wanalala barabarani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duh kumbe pale ununio kuna mambo ya kutisha kiasi hichi bila shaka watakuwa wazee wa pwani pale
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nilikua mmoja kati ya watu waliopinga sana uwepo wa uchawi.Maniner kilichonipata mwaka mmoja hata kusimulia sitaki.
Kwakweli ununio miaka iyo ilitisha sana lakini kwa sasa naona mji umechangamka sana nimepita juzi nimekuta shamla shamla kama zote vp yule jamaa wa mapaka bado yupo[emoji1787][emoji1787]Angalau saiv kunabadilika zamani ilikuwa ikifika saa nne usiku mbuzi kama 50 ivi wanajichunga wenyewe barabarani na hawapishi gari wanalala barabarani.
Alafu kuna mzee mmoja ana mapaka wengi sana anawafuga ukipita kwa nje unakuta anawalisha chakula.
hii ni kweli nimekaa na wazigua sanaKwetu uziguani hata kesi iwe vipi ukitaka unashinda tu hapo faili la kesi yako linapotezwa au linaungua moto hii hata mahakimu na majaji wanajua kwamba ukikutana na Mzigua uwezekano wa kufungwa ni asilimia 2% tu..tembea uone
Mkuu Mimi nimeshuhudia na nina uhakika na hii kitu...basi ngja nigeneralize kwa kusema uchawi wa kizigua una uwezo wa kufuta form zote za ushahidi ikiwemo na hizo documents za upelelezi tena ikiwezekana kumsahaulisha kabisa mpelelezi wa kesi yakoMkuu file kabla halijaenda mahakaman linachapishwa Kwanza inamaana copy yake inakua ipo mpelelez wa kesi anakua na ushahid mwng sana wa kukutia hatiani hizo kes ni mbaya Sana, we bora umtandike mtu mtaan umjeruhi siku ya kesi ndo umloge asahau kuja mahakamani ila hizi kes unazo shtakiwa na jamuhuri hizo hazipanguliwa kwa uchawi peke yake lazma umwage na pesa hapo
Kipindi flani kuna kesi ya jinai ilikuwa inaendelea iko moto ushahidi umesimama sasa kwenye hukumu PP alishindwa kupanda kuonana na MH ..kila akipanda tumbo linakata linamvuruiga vibaya..akienda toilet hamna kitu..akirudi tu kwenye chamber hali inakuwa mbaya ghafla..ngoma ika hairishwa kama mara mbili hivi....majamaa wenzie wazoefu wakamfata wakamwambia ukikomaa unaweza kata moto hapo bora uwatafute ndugu wa mtuhumiwa uvute chako uyeyushe mambo usitoke kwa hasara..kweli mambo yakaisha.
Shenzi kabisa hayo mambo ya kichawi
Mkuu usiseme hivo labda hujawahi kushuhudia, kuna liletukio lilitokea juzi kati hapa huko iringa mtoto anawaka moto...lile tukio nilikuwepo nilishuhudia kwa macho yangu...ni mambo ya ajabu sana...Uchawi haupo,uchawi ni akili zako.
Recall ile ishu ya Abdallah Zombe...Labda uwauwe wote hapo utawavuruga ushahid utakosekana
Ulijaribu kufuatilia historia za hao watu lakini?Mkuu usiseme hivo labda hujawahi kushuhudia, kuna liletukio lilitokea juzi kati hapa huko iringa mtoto anawaka moto...lile tukio nilikuwepo nilishuhudia kwa macho yangu...ni mambo ya ajabu sana...
Nishawahi shuhudia mtu amepigwa radi mchana kweupee..imepita mvua ya manyunyu na radi juu ikambatua then ikasepa muda huo huo.
Mkuu usiseme hivo labda hujawahi kushuhudia, kuna liletukio lilitokea juzi kati hapa huko iringa mtoto anawaka moto...lile tukio nilikuwepo nilishuhudia kwa macho yangu...ni mambo ya ajabu sana...
Nishawahi shuhudia mtu amepigwa radi mchana kweupee..imepita mvua ya manyunyu na radi juu ikambatua then ikasepa muda huo huo.
Sehemu nyingine ilikuwa hatari zamani Kwembe,makondeko na kiluvya kwa bibi mtumwaKwakweli ununio miaka iyo ilitisha sana lakini kwa sasa naona mji umechangamka sana nimepita juzi nimekuta shamla shamla kama zote vp yule jamaa wa mapaka bado yupo[emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mtukutu bhana!! Sikuwahi kumfahamu. Waliomfahamu wamemsahau. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona kama vile wewe unakumbuka kuna rafikiye na marehemu
...Pole sana Mkuu Kimpyempye kwa yaliyokukuta.Nilikua mmoja kati ya watu waliopinga sana uwepo wa uchawi.Maniner kilichonipata mwaka mmoja hata kusimulia sitaki.
Wanalogwa sana hao MkuuNenda benki ukawaloge tuone kama watasahau kukupa miloni 3 badala ya 30000
These are two unequal camps. Each camp works depending on your desire.Miaka mitano nyuma niliamini hivyo. Hata Mungu aliponitahadharisha kwa ndoto juu ya mipango miovu ya giza juu yangu nilipuuzia.
Hata nyuzi zangu za miaka ya 2011 - 2014, kila nilipokuwa naona nyuzi za dizaini hiyo, niliishia kuwakashifu waleta nyuzi na kuwaambia Ni kwa kuwa hawana Yesu.
Leo hii sihitaji kuambiwa na mtu ili niamini kwamba uchawi una nguvu, na ukikosea ukampa nafasi shetani ndipo utajua kwa undani zaidi.
Unajua hadi unaweza sahaulishwa kusoma hata Biblia? Acha niishie hapa.