Mmewahi kukumbana na uchawi wa kusahaulishwa

Mmewahi kukumbana na uchawi wa kusahaulishwa

Ni sawa dawa zinafanya kazi sana lakini Lazima utakuwa na umaskini flani hivi ndiyo gharama zake kwako mfanyaji. na pili ili ufanikishe hili zoezi unadhalilika sana, kama una moyo mwepesi huwezi ifanya, mfano uchome kidole gumba kwenye nyaa! kabla ya kuongea.....jamani!!!.

Si unaona mfano pale Mbwewe, kwa Ng'andu, kwa mkono, Msata nk, huko Uziguani hakuna Maendeleo ya watu na vitu, kama sehemu zingine za kuelekea Moshi! Mabasi pale hayasimami mpaka Korogwe! hata wasomi serikalini Mzigua, au Mzaramo hakuna, km wapo walikulia sehemu nyngine tu!

Madalali wakipata zile hela wana maisha flani hivi ya uhitaji sana, hata wakiwa na nyumba nzuri vipi! watoto wao hawafanyi vyema darasani wanaishia kutumia hela vibaya na kuwa Maskini mbeleni. kuna namna flani hivi ya kujitia umaskini.
 
Kuna sehemu nilitaka ninunue kiwanja, ila kuna jamaa akanitonya kuwa, nitakuja kukisahau na hata kama ntakuwa napita njia hio hio na kukiona basi sitokumbuka kama nimekinunua mimi 😀 Hio area kuna jamaa alikosana na wanakijiji na kashjenga gorofa ya maana kwa ajili ya hotel. Naskia jamaa akiwaza tu kwenda kuona mjengo wake mwili mzima unamuwasha mpaka anaghairi! Wanaadamu sio watu!
 
Sasa mkuu historia zinaingiaje hapa...umekaa na mtu hapo umeingia ndani kidogo inapita mvua ya manyunyu na radi juu inambabua then mvua inaisha..utasema kuna historia hapo.
Background yao inaweza kuwa na uhusiano na tukio hilo
 
Kuna fundi flan kitaa alikua tapeli kichiz an so nunatoka hom na mahasira heavy ya kumdai but ukifika kwake una kua mpole as if we ndo mtuhumiwa
Hi Hali imenikuta kwa Sasa Nina mdeni mtu wa Rukwa Kila nikimuona nageuka mpolee...na Sasa sitosahau nitamfuata Kila siku
 
Kipindi flani kuna kesi ya jinai ilikuwa inaendelea iko moto ushahidi umesimama sasa kwenye hukumu PP alishindwa kupanda kuonana na MH ..kila akipanda tumbo linakata linamvuruiga vibaya..akienda toilet hamna kitu..akirudi tu kwenye chamber hali inakuwa mbaya ghafla..ngoma ika hairishwa kama mara mbili hivi....majamaa wenzie wazoefu wakamfata wakamwambia ukikomaa unaweza kata moto hapo bora uwatafute ndugu wa mtuhumiwa uvute chako uyeyushe mambo usitoke kwa hasara..kweli mambo yakaisha.

Shenzi kabisa hayo mambo ya kichawi
Huo uchawi unafaa hata vyuoni, ni kumroga tu mwalimu mnoko akisogelea dawati lako asikie vichomi vichomi miguuni. Mwisho akae mita 100 toka ulipo 😅😅😅
 
Pande za huku kwetu kuna jamaa aliwahi kutuhumiwa kuiba simu ya mmama flani hv sasa siku ya kesi yule mama kaenda vizuri mahakamani cha ajabu alikua kama zuzu yani anaitwa mara kibao mshtaki yupo wapi yeye kimyaa....mwisho hakimu kafuta kesi kwa maana mshtaki (mlalamikaji) kapuuza kesi yake watu wanamshtua waondoke anauliza vipi? Anaambiwa muda wote hapa unauliziwa umenyamaza tu kesi imefutwa yule mama hakua na namna aisee....halafu huyu jamaa ndo hao wa huko kwa wazigua huko
 
Aisee
Pande za huku kwetu kuna jamaa aliwahi kutuhumiwa kuiba simu ya mmama flani hv sasa siku ya kesi yule mama kaenda vizuri mahakamani cha ajabu alikua kama zuzu yani anaitwa mara kibao mshtaki yupo wapi yeye kimyaa....mwisho hakimu kafuta kesi kwa maana mshtaki (mlalamikaji) kapuuza kesi yake watu wanamshtua waondoke anauliza vipi? Anaambiwa muda wote hapa unauliziwa umenyamaza tu kesi imefutwa yule mama hakua na namna aisee....halafu huyu jamaa ndo hao wa huko kwa wazigua huko
 
Pande za huku kwetu kuna jamaa aliwahi kutuhumiwa kuiba simu ya mmama flani hv sasa siku ya kesi yule mama kaenda vizuri mahakamani cha ajabu alikua kama zuzu yani anaitwa mara kibao mshtaki yupo wapi yeye kimyaa....mwisho hakimu kafuta kesi kwa maana mshtaki (mlalamikaji) kapuuza kesi yake watu wanamshtua waondoke anauliza vipi? Anaambiwa muda wote hapa unauliziwa umenyamaza tu kesi imefutwa yule mama hakua na namna aisee....halafu huyu jamaa ndo hao wa huko kwa wazigua huko
Wazigua kumbe ndio washenzi hivi!
 
. Ha haaa na ujanja wote huo umekamatika😀😀
We acha ukimpigia utasikia njoo ofcn,njiani nimepanga leo ndio leo nikifika aaah mpoleee ananipiga sound naondoka..naona na yeye anayo zamwamwa yule
 
Back
Top Bottom