Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Hamna kitu hapo.Hana pesa za kukulipa tu,hamna cha uchawi wala nini.Kuna watu wabishi.....Mi kuna jamaa namdai laki 4 hadi nimemsahau...nahisi huwa anatafuna mzizi kila nikiongea nae...Ni miaka mi3 now
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna sehemu mkoa wa pwani tulinunua mashamba mwaka 2017, tukasahau eneo lenyewe hadi aliyeuza na kila tukitaka na kupanga kwenda yale maeneo tunasahau.
Dah! Hata mimi mkuu nimenunua maeneo hayo karibu na njia ya kwenda sadani heka 12 mwaka 2016, baada ya kumaliza kulipia na dokumenti zote ninazo ila kila nikisema naenda kuliangalia hadi leo sijawahi, na hapo nshatuma ela likalimwa lote likapandwa miogo na mahindi hadi tuligombana na wife baada ya ahadi za kwenda kulitembelea kuahirishwa, siku moja akaniambia anahisi kuna mchezo umefanyika,Watu wa Bagamoyo siyo watu wazuri, unanunua kiwanja ama shamba halafu hurudi... ilitutokea mimi na rafiki yangu, tukanunua maeneo makurunge halafu hatukuwahi kurudi mpaka leo zaidi ya miaka 5, sidhani hata napakumbuka vizuri.
Utakuta washauza mkuu, chezea watu wa bagamoyo weweDah! Hata mimi mkuu nimenunua maeneo hayo karibu na njia ya kwenda sadani heka 12 mwaka 2016, baada ya kumaliza kulipia na dokumenti zote ninazo ila kila nikisema naenda kuliangalia hadi leo sijawahi, na hapo nshatuma ela likalimwa lote likapandwa miogo na mahindi hadi tuligombana na wife baada ya ahadi za kwenda kulitembelea kuahirishwa, siku moja akaniambia anahisi kuna mchezo umefanyika,
Huwezi amini na namba ya alieniuzia na kulisafisha ninazo hadi sasa hivi, lkn kila nkisema nawapigia nasahau tu ovyo
Huwezi amini nina zaidi ya miezi sita sijawahi hata kulikumbuka, nimelikumbuka baada ya kusoma hiyo post[emoji23][emoji23]Utakuta washauza mkuu, chezea watu wa bagamoyo wewe
Washakufanyia mambo, sisi tulilipa milion 4 na laki nane lak nne tuamtumia kwenye simu yani jumla milioni tano laki mbili. Tulipotoka mpaka leo hatukuwahi rudi kabisa.Huwezi amini nina zaidi ya miezi sita sijawahi hata kulikumbuka, nimelikumbuka baada ya kusoma hiyo post[emoji23][emoji23]
Aisee sio watu wazuri kabisa, mi nilinunua heka 1 laki 4 na nusu sawa na 5.4ml, pamoja na kulima na mengineyo ml6 iliishia hapo kumbe mauza uza tu.Washakufanyia mambo, sisi tulilipa milion 4 na laki nane lak nne tuamtumia kwenye simu yani jumla milioni tano laki mbili. Tulipotoka mpaka leo hatukuwahi rudi kabisa.
Atakuwa ashauza kwa mwingine maana anakuuziahuku akijua hutorudiAisee sio watu wazuri kabisa, mi nilinunua heka 1 laki 4 na nusu sawa na 5.4ml, pamoja na kulima na mengineyo ml6 iliishia hapo kumbe mauza uza tu.
Nimepanga kesho nawapigia watu wa kule akiwemo alieniuzia, ngoja nione kama ntasahau tena[emoji23][emoji23][emoji23]Atakuwa ashauza kwa mwingine maana anakuuziahuku akijua hutorudi
ulete mrejesho. ukipiga tu anaenda kazia dawa kama imeisha nguvu π π π π π π π π π π π π πNimepanga kesho nawapigia watu wa kule akiwemo alieniuzia, ngoja nione kama ntasahau tena[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kashasahau tayariNimepanga kesho nawapigia watu wa kule akiwemo alieniuzia, ngoja nione kama ntasahau tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Naitwa Dula Kiroba hua nakodiwa katika kudai madeni. Niite nikuhudumie.Kuna mazs flani ni mkopaji mzuri sana na akitaka kitu roho ya kumkatalia haipo. Yani hua najikoki nasema leo ndio leo lazima anilipe nakua na mahasira full nikifika kwake ananipokea vzr ananipa chai basi tunapiga story wee hata pesa yangu nashindwa kumuuliza yani hadi mwisho mwenyewe ananiambia sorry mami pesa yako sijasahau nakutafutia. Basi naridhika naondoka. Hapa bado namdai zaidi ya laki kunilipa majaliwa .
Mkuu vipi, kwani umeshafanikiwa kukumbuka kuwapigia?ππNimepanga kesho nawapigia watu wa kule akiwemo alieniuzia, ngoja nione kama ntasahau tena[emoji23][emoji23][emoji23]