Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
[emoji3][emoji3][emoji3] anatoa tips za kuvuta watoto wakaliChatGPT ina msimamo pia View attachment 2573880
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3] anatoa tips za kuvuta watoto wakaliChatGPT ina msimamo pia View attachment 2573880
Ipo vizuri kabisaNi vizuri kutest ChatGPT ili kujua strengths na weaknesses zakeView attachment 2575617
Kagoma kiakili sana, jibu ambalo binadamu asingeweza kulipangiliaHata ChatGPT inakataa kutoa jibuView attachment 2573772
Duh! Hii ngoma hatariInajifanya haijui View attachment 2573638
Microsoft kaenda mbali na kudesign AI anayeitwa Copilot ambaye anaandaa presentations, documents na spreadsheet kabisa.ChatGPT ni artificial intelegence iliotengenezwa na openAI, unaweza iuliza ikuandikie barua, report, inaweza kutengeneza website na mengine mengi, yajayo ni hatari sana
Kabisaaaaa
Unyama mwingi wa chatgpt [emoji95][emoji95] huu ni mda wa kupunguza marafiki vilaza[emoji1787]
umeliuliza neno ambalo halipo kwenye lugha ya kiswahili.
Nimeandika makala fupi kuhusu chatGPT na makala mengine yenye lugha pendwa soon yatakuwa kwenye magazeti yetuChatGPT ni artificial intelegence iliotengenezwa na openAI, unaweza iuliza ikuandikie barua, report, inaweza kutengeneza website na mengine mengi, yajayo ni hatari sana
Hii link uliyotuma ni ya niniNimeandika makala fupi kuhusu chatGPT na makala mengine yenye lugha pendwa soon yatakuwa kwenye magazeti yetu
![]()
ChatBot war: Bard vs ChatGPT
Foundation models have become a popular topic on the internet and in social media, as they have proven highly useful in various domains, ranging from academia to social media blogging. While some may have heard about Google LAMBDA (Language Model for Dialogue Applications) since its breakthrough inwww.linkedin.com
Niliwahi kuwapa link ya sinema flani inaitwa Detroit become human -Full Game, humo kuna AI like human being anafanya majukumu yote ya nyumbani.
Cha ajabu huko mbele baada ya AI kuwa wengi real human being walianza kuwachukia AI na kuanza kuwasaka popote walipo na kuwaangamiza, angalia hii sasa ...
AI waligundua ndiposa nao wakaanza vita na binadamu, ...
Ahahahaa tafuta hiyo movie uangalie how our world is going!.