Duh.....ilikuwaje Mwishowe malizia[emoji23]iko siku nilipiga tungi sana kwa macheni, nikabeba shoga nilijua mwanamke kutokana na mwonekano wake na ongea yake, nimekuja kushtuka ni mwanaume niko nae kwenye tax, hahaha sitasahau kilichotokea.
Dah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
AZA boy[emoji106]Pole Kwa Ndugu, jamaa na marafiki. Nakumbuka nilikuwa nakatiza asubuhi nikiingia zangu skuli Azania, asubuhi saa moja nakuta bado kuna mtu kibao zinapata mambo. Kwa Macheni kweli enzi hiyo.
Pumzika Kwa Amani Hussein.
Kama mtu amelamba machangudoa tangu miaka ya 90, huyo si mzima,amewaka,ana motoKaongea upuuzi Tu
Marehemu naye alikufa kwa Juliana, madawa ya Juliana yanasababisha mafuta mengi kwenye moyo hivyo possibility ya heart attack na kifoNyani Ngabu,hongera kwa kuwala totozi miaka ya 90 kwenye baa yake,pia miaka hiyo ya 90 marehemu naye aliwafagia vilivyo,ngoma droo,usijisifie!!!
For real man.
Ukimwi unaweza kumpata MTU yeyoteKama mtu amelamba machangudoa tangu miaka ya 90, huyo si mzima,amewaka,ana moto
umri huo ingekuwa Ulaya/Marekani ndo anatafuta Urais/PHD/ utajiriHuyo ni mtu mzima lakini hapendi kuzeeka
Pango la UCHAFU na kumhuzunisha MUUMBA. Okoka leo hizo totos utaziona kinyesiMacheni huyu huyu?
Hakika wengi sana waliathirika na ukimwi kwenye bar yake miaka ya 93/99. Pale ukimwi ulikua nje nje. Kunyonyana hadharani ilikua jambo la kawaida.
Nakumbuka mwaka 98 nilikunywa pale mpaka jua majogoo.
Dhambi inatesa; okoka leo usalimishe maisha yako kwa Bwana YESUDuh.....ilikuwaje Mwishowe malizia[emoji23]
Mashoga hapo ilikuwa kama nyumban
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu anashangaa Hussein mwislam kuendesha biashara ya baaNaam mkuu alikua anamiliki Bar maarufu sana magomeni, na aliwahi kua mmiliki wa Bendi ya muziki FM. Academia) pia
Kifo hakina ubaguzi;Mungu hana upendeleoPole sana wanafamilia!!watu maarufu wenye kipato wanatoweka kwa kasi tena kwa vifo visivyoridhisha!!!HUU NI MTIKISIKO WA KIUCHUMI!KODI KIBAO!TRANSACTION ZINAKULA KODI SANA TU!!!NMB WAKALA NAYO HATARI!!LAZIMA TUTAZIKA SANA MWAKA HUU WA UCHAGUZI!!
Ashura macheni nae alishakufa kama sikosei kati ya mwaka juzi alizikwa iringaBaa ilikuwa inaitwa Highway Night Park. Ilishafungwa kitambo.Ashura basikia alishaolewa na anishi Dubai
Pole Kwa Ndugu, jamaa na marafiki. Nakumbuka nilikuwa nakatiza asubuhi nikiingia zangu skuli Azania, asubuhi saa moja nakuta bado kuna mtu kibao zinapata mambo. Kwa Macheni kweli enzi hiyo.
Pumzika Kwa Amani Hussein.
Inalilah wainailayhi rajiun, nimepata habari few mins ago toka whatsapp group, Allah amuondolee adhabu ya kaburi, ampe kauli thabit,mbele yake nyuma yetu.
Unatuambia sisi au???Dhambi inatesa; okoka leo usalimishe maisha yako kwa Bwana YESU
Amekuambia wewe ina. Mana hujaelewa tu