TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

Ahahahahahaaaaaaa.......
Haaa na mm nimo miaka ya 2000kwa mara ya kwanza Dar ni kupeleka Kwa machinists na kumbuka siku hiyo machinists Akita’s tracksuit jenkundu tulivuta baba hadi majogoo tukaondoka na Toto’s
 
Macheni huyu huyu?
Hakika wengi sana waliathirika na ukimwi kwenye bar yake miaka ya 93/99. Pale ukimwi ulikua nje nje. Kunyonyana hadharani ilikua jambo la kawaida.
Nakumbuka mwaka 98 nilikunywa pale mpaka jua majogoo.
 
iko siku nilipiga tungi sana kwa macheni, nikabeba shoga nilijua mwanamke kutokana na mwonekano wake na ongea yake, nimekuja kushtuka ni mwanaume niko nae kwenye tax, hahaha sitasahau kilichotokea.
Ohooo ikiwaje mkuu Malizia story tafadhali,
Tutakupandisha cheo huku jf
 
Macheni huyu huyu?
Hakika wengi sana waliathirika na ukimwi kwenye bar yake miaka ya 93/99. Pale ukimwi ulikua nje nje. Kunyonyana hadharani ilikua jambo la kawaida.
Nakumbuka mwaka 98 nilikunywa pale mpaka jua majogoo.
Duh 😷 kwa hiyo Mkuu na wewe ulipata ukimwi
 
Back
Top Bottom