TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

Huwa hakuna kulala pema wala pabaya
Ukifa ndio imetoka hivo hakuna tutalofanya libadili kifo au matendo yako kabla ya kifo
 
Jamani kuna mwenye picha ya Ashura inaielekea ni kifaa cha maana sana
9dddbbd04366e9e9e6e9048fe44a84ba.jpg
 
huyu jamaa ni mwenyeji wa wapi kwa anaefahamu/
 
Pole Kwa Ndugu, jamaa na marafiki. Nakumbuka nilikuwa nakatiza asubuhi nikiingia zangu skuli Azania, asubuhi saa moja nakuta bado kuna mtu kibao zinapata mambo. Kwa Macheni kweli enzi hiyo.

Pumzika Kwa Amani Hussein.
 
Jana nilimuona Mbezi beach, nikawa najiuliza hii sura nimeiona wapi.
Baada ya dakika kama tano nikamkumbuka. Alikuwa anapiga monde akiwa na rafiki yake mishen town mmoja
aliyekuwa Mbunge pamoja na mabinti wawili. Maisha mafupi sana.

RIP Macheni
true alikuwa hapo
 
Kwaheri Macheni ...last time nilimuona club Rouge kwenye disko la oldies...
 
Amemtumikia sana Lucifer,ngoja akapumzike.
Mmiliki wa baa maarufu ya Macheni iliyopo Magomeni jijini Dar es
Salaam, Hussein Macheni amefariki dunia leo baada ya kuanguka ghafla akiwa
nyumbani kwake Magomeni.

HM.jpg


Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu ni kwamba Macheni alianguka ghafla majira ya
saa 3 asubuhi na kukimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo iligundulika kuwa
tayari amefariki.

Mwili wa marehemu umehifadhiwa Muhimbili kusubiri taratibu nyingine. Mwenyezi Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi. AMEN.

Chanzo : Global Publishers
Naam mkuu alikua anamiliki Bar maarufu sana magomeni, na aliwahi kua mmiliki wa Bendi ya muziki FM. Academia) pia
 
Back
Top Bottom