Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IFM au FM academia ?Naam mkuu alikua anamiliki Bar maarufu sana magomeni, na aliwahi kua mmiliki wa Bendi ya muziki lFM. Academia) pia
Nilimaanisha FM Academia. Asante kwa kunisahihishaIFM au FM academia ?
Alitwa Macheni sababu ya kuvaa minyororo enzi hizo nasikia kwanza alikuwa baharia kabla ya kuanza kuendesha night club,na bendi alikuwa kama meneja bendi ilikuwa ya jamaa wa PPFHii bar si iliyozaa jina la KWA MACHENI?
We we !! Maustadhi wanachukua nafas yaoR.I.P naimani Bia zitakuwepo za kutosha kwenye sherehe ya kumsindikiza marehemu panapostahili
Kweli mkuu...haka katoto kanaacha kusoma kipindi hiki wenzake wapo kwenye mitihani...Nyie ndio mnatufanyia tabu hapa jf
Jamani kuna mwenye picha ya Ashura inaielekea ni kifaa cha maana sana
Pole Kwa Ndugu, jamaa na marafiki. Nakumbuka nilikuwa nakatiza asubuhi nikiingia zangu skuli Azania, asubuhi saa moja nakuta bado kuna mtu kibao zinapata mambo. Kwa Macheni kweli enzi hiyo.
Pumzika Kwa Amani Hussein.
true alikuwa hapoJana nilimuona Mbezi beach, nikawa najiuliza hii sura nimeiona wapi.
Baada ya dakika kama tano nikamkumbuka. Alikuwa anapiga monde akiwa na rafiki yake mishen town mmoja
aliyekuwa Mbunge pamoja na mabinti wawili. Maisha mafupi sana.
RIP Macheni
Dadapoa ni dadapoa tu mkuu, haijalishi wa wapiKumbe na wewe ulikuwa mtu wa dada poa! Tena standard ya kwa macheni!!
Mmiliki wa baa maarufu ya Macheni iliyopo Magomeni jijini Dar es
Salaam, Hussein Macheni amefariki dunia leo baada ya kuanguka ghafla akiwa
nyumbani kwake Magomeni.
![]()
Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu ni kwamba Macheni alianguka ghafla majira ya
saa 3 asubuhi na kukimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo iligundulika kuwa
tayari amefariki.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa Muhimbili kusubiri taratibu nyingine. Mwenyezi Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi. AMEN.
Chanzo : Global Publishers
Naam mkuu alikua anamiliki Bar maarufu sana magomeni, na aliwahi kua mmiliki wa Bendi ya muziki FM. Academia) pia
Ni mhehe wa iringa jina lake ni Hussein Tendega na kazikwa iringa makaburi ya Mlolo.huyu jamaa ni mwenyeji wa wapi kwa anaefahamu/