sheriff john brown
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 717
- 714
Jamani kuna mwenye picha ya Ashura inaielekea ni kifaa cha maana sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mkuu NN nawe ulikua mtu wa mizigo mibovu kumbeDah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
Ebo! Ashura tena? Maana awali kabisa alimuoa Huria mtoto wa Kitwana Kondo naye akatoweka,basi tena ndio malimwengu.Baa ilikuwa inaitwa Highway Night Park. Ilishafungwa kitambo.Ashura basikia alishaolewa na anishi Dubai
kwa ujumla fedha ilikuwepo,ile baa hakuwahi kuonekana pale nyuma licha ya umaarufu wake,alishinda casino na kwenye mahoteli ya kitalii kupiga deal,ila baada ya kuwa na ashura ndio tukawa tunalewa nae pale highway mpk asubuhi.jamaaa ni muungwana sana tu na ana heshima kwa watu wote tofauti na anavyofikiriwa.Hussein Macheni huyu jamaa alikuwa kati ya wanaume wa mwanzo kabisa kuweka nywele kalkiti na kujibadili rangi ya ngozi kuondoa weusi wa asilia na kuwa rangi isoyoeleweka yaani rangi mbadala [emoji12][emoji12][emoji12]alikuwa rafiki wa wajomba zangu enzi hizo wakiitwa mabaharia walikuwa wanapiga cheni kibao vifuani nilikuwa Mdogo ila namkumbuka alikuwa hataki shida ndogo ndogo huyu jamaa [emoji12][emoji12]RIP Hussein Macheni
Umeijuaje mkuuJamani kuna mwenye picha ya Ashura inaielekea ni kifaa cha maana sana
PapuchiNasikia Rama amepona siku hizi. Alipata uchizi kabisa
Hapo ndo fm musica kwa sasa fm academia walipoanzia, hili ni pigo kwa nyosh el saadath
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji85] [emoji86]Best kwa hesabu umetishaa[emoji119] [emoji119]
Kifo chake kimesaidia tumewajua watu wa hapa ambao ni age ya kina lemutuz
R I P Macheni
Alikuwa handsomeAsante kwa picha...
Sisi wengine tulikuwa tunasikia jina tu
Jamanindukum maku ngese
Labda yupo soba hauz Maana......Umenifanya niusake ule wimbo tena.! Sijui Feruzi kapotelea wapi aisee.!
Huseein mmiliki wa Bar....Dah Allah amsamehe...
Shoga sugu. Enzi hizo kulikuwa na ghorofa linajengwa pale magomeni karibu na hiyo baa yake. nami nilikuwa nafanya kibarua hapo cha kumsaidia fundi kujenga. Nikasikia washikaji wanaongea sana, kuwa jamaa ndio hivyo tena, halafu mbaya zaidi ameungua.
Inawezekana maana hawa bongo fleva wetu..!!!Labda yupo soba hauz Maana......