Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamia tu ukaoge bia.!Sijui nizamie[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
.Kwa nini umeandika "aliyekuwa' ina maana alishaacha kuwa mmiliki au baa ilishafungwa? R.I.P Macheni
Ungemjulia wapi mkuu?Kumbe ndio huyu nilikua simjui miaka yote
Ni semeni au salama?poleni sana Amina na Semeni, mlioimbwa na Feruzi
AiseeeeHuyo Mungu shemeji yako , unavyompangia
Baada ya kuachana na Jacky ndio akamfata Salama, lakini Amina na Semeni walikua wanamsubiri kwa Macheni.Ni semeni au salama?
Ahahaah pesa tafuta Na bia ukizamia msibani utazioga.!Napenda bia na pesa
Umenifanya niusake ule wimbo tena.! Sijui Feruzi kapotelea wapi aisee.!Baada ya kuachana na Jacky ndio akamfata Salama, lakini Amina na Semeni walikua wanamsubiri kwa Macheni.
Afu anaendelea hivi..."starehe nilizifanyia papara nilibadili madem kama vidaladalaaa"[emoji16] [emoji16] [emoji16]huyu ndo yule aliyemuimbaga ferouz kweny ule wimbo wake wa starehe?
"...amina na semeni tunakutana kwa macheni, na kila siku nlikuwa nabadilisha tena kwa foleni..."
Amejaa tele, ajipanga kurudi kwenye game.Umenifanya niusake ule wimbo tena.! Sijui Feruzi kapotelea wapi aisee.!
Mie nilikuwa napiga vyombo mida mida .......saa kumi ..... kumi na moja bei imepoa fasta wima wima!Nakula wawili watatu nguvu zangu!Dah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
was the comment really necessary?Embu acha unafiki hapa ! Wee mbona una mambo yako na wala haujiombei msamaha kwa Hugo imaginary father wako ?
Tulikuwa tunaita wa kuchina yaani kama samaki wataoza sasa mida hiyo ya kumi hawana pa kwenda soko limebuma aah maisha ndo unachukua kiulaini.Mie nilikuwa napiga vyombo mida mida .......saa kumi ..... kumi na moja bei imepoa fasta wima wima!Nakula wawili watatu nguvu zangu!
Marehemu ndio anatauta kiki auu!??[emoji47]Unatafta kick