TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

HM.jpg
Asante kwa picha...
Sisi wengine tulikuwa tunasikia jina tu
 
Baa ilikuwa inaitwa Highway Night Park. Ilishafungwa kitambo.Ashura basikia alishaolewa na anishi Dubai
ashura alimtosa huyu jamaa pia-yule dem fursa mbele,alimtosa Rama kabla hajaenda kwa macheni rama akapagawa akawa chizi kabisa unamkuta pale kino anaongea peke yake ,huku ashura anakula bata na macheni duh.
 
ashura alimtosa huyu jamaa pia-yule dem fursa mbele,alimtosa Rama kabla hajaenda kwa macheni rama akapagawa akawa chizi kabisa unamkuta pale kino anaongea peke yake ,huku ashura anakula bata na macheni duh.
Nasikia Rama amepona siku hizi. Alipata uchizi kabisa
 
Hapo ndo fm musica kwa sasa fm academia walipoanzia, hili ni pigo kwa nyosh el saadath
 
Nasikia Rama amepona siku hizi. Alipata uchizi kabisa
BORA KAPONA AISEE,HUYO DEMU ALIMTOSA ALAFU MSHKAJI ALIKUA KASUMBUKA NAE SANA TU.kipindi hicho trip kibao colombia brazil life inaenda.sijui ilikuwaje bana tukaja sikia tu dem kakimbia jamaa ishu haziendi mara chizi fresh
 
Back
Top Bottom