Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chezea binadamu weyeMarehemu ndio anatauta kiki auu!??[emoji47]
Best kwa hesabu umetishaa[emoji119] [emoji119]Wewe mzee kweli unatisha!
2016-1992=24yrs
Umri wa kula totoz na uwapo mapene. 30-35.
i.e 35+24= 59 ish!
ndo ilikuwa ambiance ya enzi hizo nnOoh 90's totoz tumezila sana pale. RIP
Asante kwa picha...
ndukum maku ngeseKwa hiyo?
sana,unakumbuka hata singo yake ya kwanza kipindi katoka kwao huko zenj aliitambulisha paleNakumbuka Mr nice kabla hajatoka alikuwa anakata mauno kwa macheni
ashura alimtosa huyu jamaa pia-yule dem fursa mbele,alimtosa Rama kabla hajaenda kwa macheni rama akapagawa akawa chizi kabisa unamkuta pale kino anaongea peke yake ,huku ashura anakula bata na macheni duh.Baa ilikuwa inaitwa Highway Night Park. Ilishafungwa kitambo.Ashura basikia alishaolewa na anishi Dubai
Nasikia Rama amepona siku hizi. Alipata uchizi kabisaashura alimtosa huyu jamaa pia-yule dem fursa mbele,alimtosa Rama kabla hajaenda kwa macheni rama akapagawa akawa chizi kabisa unamkuta pale kino anaongea peke yake ,huku ashura anakula bata na macheni duh.
BORA KAPONA AISEE,HUYO DEMU ALIMTOSA ALAFU MSHKAJI ALIKUA KASUMBUKA NAE SANA TU.kipindi hicho trip kibao colombia brazil life inaenda.sijui ilikuwaje bana tukaja sikia tu dem kakimbia jamaa ishu haziendi mara chizi freshNasikia Rama amepona siku hizi. Alipata uchizi kabisa
Ehe! Pia......endelea Muungwana.Naam mkuu alikua anamiliki Bar maarufu sana magomeni, na aliwahi kua mmiliki wa Bendi ya muziki lFM. Academia) pia
Ala! Hivyo?Alimiliki bendi ya Beta la Musika akishirikiana na Mataka
Bado ndio mnafunguka hivyo, mtafika tu.Mataka??..alaa kumbe ndio maana huyo macheni anafanana na defao matumona mzee wa famileee kikuta!!
ulishiba totoz?Mungu asikutangulie.Dah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
haya tumekusikia ila uende na msibani piaDah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.