TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

Yeye afungue mabaa halafu sasa hivi mnaanza Allah hivi ALlah vile? Akapambane na hali yake huko kaburini
Kwani kufungua baa ndo nini .....mbona makanisa na misikiti wanapokea pesa za michango na sadaka kutoka kwa hao. Watu na sio hao tu ....moyo wa mtu unabaki na jinsi alivyo mkumbuka muumba wake usijikute mtu wa kuhukumu saanaa......
 
Dini sahihi, haimuhukumu mtu kwa alichokifanya duniani.

Hukumu inatolewa na aliye Muumba, kitu ambacho hauna uhakika nacho pia.

Dini, jifiche nazo chumbani kwako.
Subutu yake. Wewe ukae ufanye ufuska wako useme dini sahihi haimuhukumu mtu?? Kila kitu kipo wazi. Halali ipo wazi na haramu ipo wazi. Kaa hukupata kutubu kwa makosa yako basi jiandae kudaadeki. Na toba ina masharti yake
 
Kwani kufungua baa ndo nini .....mbona makanisa na misikiti wanapokea pesa za michango na sadaka kutoka kwa hao. Watu na sio hao tu ....moyo wa mtu unabaki na jinsi alivyo mkumbuka muumba wake usijikute mtu wa kuhukumu saanaa......
Nasema hivi, ajiandae na mapambano huko kaburini kwake. Nyinyi muwe ndio chanzo cha ufuska hapa duniani halafu mtegemee salama baada ya kufa???
 
Kwanni mkuu ongeza nyama si wengine vijana wa 2000s
We acha tu.
Hizi bar hata giza bado unakuta wanawake wameingiza vichwa chini ya meza wanakula cony.

Kuna mmoja huyo kwa machein alikula cone mpaka akapata usingizi ikiwa mdomoni na mwanamme naye alikua usingizini. Tunapita pale tukiwa kwenye DCM asubuhi tukiwahi Kariakoo kila MTU Hana mbavu.
 
We acha tu.
Hizi bar hata giza bado unakuta wanawake wameingiza vichwa chini ya meza wanakula cony.

Kuna mmoja huyo kwa machein alikula cone mpaka akapata usingizi ikiwa mdomoni na mwanamme naye alikua usingizini. Tunapita pale tukiwa kwenye DCM asubuhi tukiwahi Kariakoo kila MTU Hana mbavu.
Hahaha...
 
Yeye alifungua bar na pia alimiliki bar na hiyo kiimani ni dhambi. Suala la moyo was mtu halipo hapo
Kwani kufungua baa ndo nini .....mbona makanisa na misikiti wanapokea pesa za michango na sadaka kutoka kwa hao. Watu na sio hao tu ....moyo wa mtu unabaki na jinsi alivyo mkumbuka muumba wake usijikute mtu wa kuhukumu saanaa......
 
Subutu yake. Wewe ukae ufanye ufuska wako useme dini sahihi haimuhukumu mtu?? Kila kitu kipo wazi. Halali ipo wazi na haramu ipo wazi. Kaa hukupata kutubu kwa makosa yako basi jiandae kudaadeki. Na toba ina masharti yake
Kwenye hio anayehukumu ni Mwanadamu kwani?
 
Ndivyo ilivyo ukizoea kufukua ni lzm ufukuliwe
 
Jamaa alimfumuaga defao marinda mpaka akagoma kurudi Congo
Aliyemfumua Defao sio Macheni bali ni rafiki wa karibu Sana wa Macheni. Mheshimiwa mmoja mwizi Sana akisikia harufu ya choo anasisimka utadhani mfungwa kaona mwanamke mnene aliyevaa khanga moja iliyorojoka hata jina lake linaashiria uchafu, mheshimiwa huyu ana uadui wa asili na wanawake, mabibi zake ni wanaume tu.
Sasa hivi Yuko Kama scania iliyo silence.
 
Aliyemfumua Defao sio Macheni bali ni rafiki wa karibu Sana wa Macheni. Mheshimiwa mmoja mwizi Sana akisikia harufu ya choo anasisimka utadhani mfungwa kaona mwanamke mnene aliyevaa khanga moja iliyorojoka hata jina lake linaashiria uchafu, mheshimiwa huyu ana uadui wa asili na wanawake, mabibi zake ni wanaume tu.
Sasa hivi Yuko Kama scania iliyo silence.
mkuu fungua hii code
 
Aliyemfumua Defao sio Macheni bali ni rafiki wa karibu Sana wa Macheni. Mheshimiwa mmoja mwizi Sana akisikia harufu ya choo anasisimka utadhani mfungwa kaona mwanamke mnene aliyevaa khanga moja iliyorojoka hata jina lake linaashiria uchafu, mheshimiwa huyu ana uadui wa asili na wanawake, mabibi zake ni wanaume tu.
Sasa hivi Yuko Kama scania iliyo silence.
Si yule jamaa wa mambo ya usafiri wa hewani yule?
 
Back
Top Bottom