TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake

Nilitaka kushangaa wakati Macheni mwenyewe …..
 
mkuu fungua hii code
Mhusika ana pesa chafu.
Naogopa watu wenye pesa chafu halafu hawajui milango ya kanisa.
Wewe tu shangaa mtu hataki wanawake au mashoga, yeye anatongoza wanaume wenye familia zao na heshma zao.
 

Dah noma sana mkuu,,kuna siku nilkua napitia uzi mmoja hivi kuhusu huyu machen na defao kwamba wote walikua wanapigwa basi nilisikitika sana kwakwel sikutamani ata kuendelea kupata taarifa zake
 
Mhusika ana pesa chafu.
Naogopa watu wenye pesa chafu halafu hawajui milango ya kanisa.
Wewe tu shangaa mtu hataki wanawake au mashoga, yeye anatongoza wanaume wenye familia zao na heshma zao.

Kweli kabisa kuna ma mtu hii dunia ka yalizariwa chooni
 
🤣🤣🤣🤣 Mkuu huyu jamaa mbona hatajwi?mtajeni ikiwezekana
 
Huyo boss ni shida
Maana alumfua hadi
Defao alilazwa tmj haha

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…