TANZIA Mmiliki wa baa maarufu Magomeni, Hussein Macheni ameaga dunia ghafla nyumbani kwake


Duh.....apumzike kwa amani..nilikuwa namfahamu kwa mbali...
 
Jana nilimuona Mbezi beach, nikawa najiuliza hii sura nimeiona wapi.
Baada ya dakika kama tano nikamkumbuka. Alikuwa anapiga monde akiwa na rafiki yake mishen town mmoja
aliyekuwa Mbunge pamoja na mabinti wawili. Maisha mafupi sana.

RIP Macheni
We hukuwa na ka binti huko. ...

Wanasemaga wanadam tunatembea na kifo duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…