The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Huyu mwamba nilikuwa najuana naye sana kitaa ila sikujua kama yupo jf wala anamiliki blog, alikuwa mwalimu.Apumzike Kwa amani kamanda!
Hv kwa Mimi ambae Sina mtu najuana nae humu hata Moja....siku tayre la scania likichomoka road likanibutua nakafa nani atatoa taarifa au uongozi wa jf unataarifa zote za members wake na watajua