TANZIA Mmiliki wa Blog ya Maswa Yetu na MwanaJF, Innocent Lugano Mbwaga afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa Blog ya Maswa Yetu na MwanaJF, Innocent Lugano Mbwaga afariki dunia

Hivi serikali haioni hatari ya bodaboda?

Hii wiki huyu ni mtu wa 4 kusikia kafa Kwa bodaboda!
 
Huyu jamaa wakati nilikuwa nawapambania walimu na kuandika thread za walimu alikuwa ananitisha na kusema ataninyoosha Kwa madai nadharirisha walimu Sasa yeye ndokanyooshwa
Ebu acha hizi bro. Haikutakiwa kuleta hizi Personal issue na mtu aliyefariki hapa kwetu. Zingebaki kuwa zenu wenyewe kwani hawezi jitetea tena. Sio sawa kabisa kwani nawe siku yako yaja ambayo utalazwa kwenye heneza kama yeye.
 
Pole sana , kwa ndugu jamaa na marafiki je kipengele cha privacy kimezingatiwa?

Pengine ndugu yetu hakutaka kujulikana kwa jina lake halisi.
 
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.

Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.

"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.

JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5

View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
R.I.P I nnocent Mbwaga.
Mwendo umeumaliza.
Mwenyezi Mungu akuweke mahali unapostahili...
 
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.

Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.

"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.

JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5

View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
Is it a normal road accident or the staged road accident????
 
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.

Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.

"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.

JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5

View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
Kifo kiwe funzo kwa sisi tuliobaki. Wazungu ujanja wote mateknolojia lkn ukimuuliza atakufa lini hajui. Allah akbar
Allah awajaalie ushindi ndugu zetu PALESTINA
 
Inauma sana. Pole kwa familia, hasa kwa kipindi hiki kigumu.
 
Mungu Baba tunaomba umrehemu huyu mja wako, ukampe pumziko la amani. Poleni sana wote mlioguswa na msiba huu.
Nami naomba niwaache na neno hili la tulizo toka 1 Petro 4: 12-13
12 “Wapenzi, msione kuwa ni ajabu ule msiba ulio kati yenu, unaowapata kama moto ili kuwajaribu, kana kwamba ni kitu kigeni kiwapatacho.

13 Lakini kama mnavyoyashiriki mateso ya Kristo, furahini; ili na katika ufunuo wa utukufu wake mfurahi kwa shangwe”.
 
R.I.P

Kuna jamii zingine nimeona live kwenye mazishi, wadai wa marehemu wanakuja na kudai live kwa sauti kubwa huku wakitishia marehemu hazikwi mpaka deni lilipwe......
 
Daah aseeee 😫😫😫 katika watu nilikuwa niko nao around na walikuwa wacheshi ni huyu jamaa.
Sikuwahi mjua kwa jina la Innocent bali kwa a.k.a ticha aseee pia aliwahi nipakia kwenye pikipiki yake mara kibao.

Cha ajabu sikuwai jua kama ni mmiliki wa maswa yetu blog wala kama yupo jf bali nilimjua kwa kazi ya ualimu.

Mwanzoni aliishi moshi akahamia mtwara Tandahimba kikazi, hana hata muda mrefu huko tandahimba tangu apate kazi ni karibu miezi 4 tu tangu atoke moshi.

Anyway Ticha endelea kupumzika kwa amani hii njia ni yetu sote.
 
Back
Top Bottom