TANZIA Mmiliki wa Blog ya Maswa Yetu na MwanaJF, Innocent Lugano Mbwaga afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa Blog ya Maswa Yetu na MwanaJF, Innocent Lugano Mbwaga afariki dunia

Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.

Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.

"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.

JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5

View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga

Pole kwa wafiwa.
 
Pole kwa sisi sote wanaJFs tumepoteza Mtu muhimu.

Pole kwa JF HQ
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.

Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.

"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.

JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5

View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
 
Ushauri kwa Maxence Melo hizi nyuzi za tanzia zisiwe na sehemu ya comment kwa sababu haina maana. Maelezo/maelekezo yote yawekwe kwenye main post. Pole zetu hazina mchango wowote kwa familia wala marehemu. Asante
Punguza hofu yakifo,maoni yeendelee kuwepo,hii inatufanya kumfahamu vizuri muhusika,mfano mtu kaleta tanzia na membes wanataka kuhudhuria msiba huo so akaulize wapi!? Kwa moderators!?
 
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.

Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.

"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.

JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5

View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
R.I.P Innocent [emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Punguza hofu yakifo,maoni yeendelee kuwepo,hii inatufanya kumfahamu vizuri muhusika,mfano mtu kaleta tanzia na membes wanataka kuhudhuria msiba huo so akaulize wapi!? Kwa moderators!?
Naogopa vipi kitu nachoishi nacho kila wakati?? Unataka umfahamu vizuri muhusika ili iweje ama ikusaidie nini, mtu akifa huo ndio mwisho wa maisha yake, labda ulipaswa kumfahamu akiwa hai vinginevyo ni element za umbea , nimesema taarifa zote (ikiwemo za kuhudhuria msiba ama kama kuna kutoa rambi rambi) ziwekwe kwenye main thread (soma vizuri nilichoandika)
 
Back
Top Bottom