Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.
Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.
"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.
JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5
View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.
Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.
"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.
JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5
View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
Anhaaa Nyafwili umefika na huku haya bwana poleni kwa member mwenzetuR. I. P kamanda
Punguza hofu yakifo,maoni yeendelee kuwepo,hii inatufanya kumfahamu vizuri muhusika,mfano mtu kaleta tanzia na membes wanataka kuhudhuria msiba huo so akaulize wapi!? Kwa moderators!?Ushauri kwa Maxence Melo hizi nyuzi za tanzia zisiwe na sehemu ya comment kwa sababu haina maana. Maelezo/maelekezo yote yawekwe kwenye main post. Pole zetu hazina mchango wowote kwa familia wala marehemu. Asante
Siyo sawaUshauri kwa Maxence Melo hizi nyuzi za tanzia zisiwe na sehemu ya comment kwa sababu haina maana. Maelezo/maelekezo yote yawekwe kwenye main post. Pole zetu hazina mchango wowote kwa familia wala marehemu. Asante
R.I.P Innocent [emoji120][emoji120]Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.
Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.
"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.
JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5
View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
Naogopa vipi kitu nachoishi nacho kila wakati?? Unataka umfahamu vizuri muhusika ili iweje ama ikusaidie nini, mtu akifa huo ndio mwisho wa maisha yake, labda ulipaswa kumfahamu akiwa hai vinginevyo ni element za umbea , nimesema taarifa zote (ikiwemo za kuhudhuria msiba ama kama kuna kutoa rambi rambi) ziwekwe kwenye main thread (soma vizuri nilichoandika)Punguza hofu yakifo,maoni yeendelee kuwepo,hii inatufanya kumfahamu vizuri muhusika,mfano mtu kaleta tanzia na membes wanataka kuhudhuria msiba huo so akaulize wapi!? Kwa moderators!?
Muda mwingine ni sawa kutokuwa sawaSiyo sawa
Nipo mkuu, nafanya survey kila category, iliyopo JF.Anhaaa Nyafwili umefika na huku haya bwana poleni kwa member mwenzetu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app