MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Sawa sawaNipo mkuu, nafanya survey kila category, iliyopo JF.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaNipo mkuu, nafanya survey kila category, iliyopo JF.
JF ifanye mpango tuwe tunatowa hata rambirambi.Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.
Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.
"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.
JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5
View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
Aiseeeeee [emoji28][emoji28][emoji28]May 7 alileta bandiko la "kuna athari gani pombe ikizidi kwny damu? Maybe hata ajali imetokana na kuzidiwa kilevi...
Pumzika kwa amani..every one live once
Kumbe nae ni Mnyoa Dongo / Para kama Mimi? R.I.P Kwake .Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.
Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.
"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.
JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5
View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
Very sad!Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.
Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.
"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.
JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5
View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga