TANZIA Mmiliki wa Blog ya Maswa Yetu na MwanaJF, Innocent Lugano Mbwaga afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa Blog ya Maswa Yetu na MwanaJF, Innocent Lugano Mbwaga afariki dunia

Apumzike Kwa amani kamanda!

Hv kwa Mimi ambae Sina mtu najuana nae humu hata Moja....siku tayre la scania likichomoka road likanibutua nakafa nani atatoa taarifa au uongozi wa jf unataarifa zote za members wake na watajua
 
Bila shaka huyu ni mwanafunzi wangu,aliyesoma Binza secondary.
Pumzika kwa amani kijana wangu,pole sana mzee mwenzangu Mbwaga.
 
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.

Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.

"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.

JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5

View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
JF ifanye mpango tuwe tunatowa hata rambirambi.

Pole sana
 
May 7 alileta bandiko la "kuna athari gani pombe ikizidi kwny damu? Maybe hata ajali imetokana na kuzidiwa kilevi...
Pumzika kwa amani..every one live once
 
Maskini[emoji3064]
Mungu ailaze pema peponi roho ya marehemu Mbwaga
Last seen 24 Nov.

Maisha ni fumbo, hakuna awezaye kutegua.
Saa tuaiyoitarajia tutaondoka.

Muhimu kujiweka tayari.
 
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.

Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.

"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.

JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5

View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
Kumbe nae ni Mnyoa Dongo / Para kama Mimi? R.I.P Kwake .
 
Mwendeshaji na Mmiliki wa Mtandao wa MASWA YETU BLOG, Innocent Lugano Mbwaga maarufu Blogger Boy amefariki dunia.

Innocent mkazi wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ambaye ni Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa Desemba 8,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu hospitali baada ya kupata ajali ya pikipiki Tandahimba Desemba 5,2023.

"Ni kweli kijana wangu kafariki dunia leo asubuhi wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Kanda Mtwara, alipata ajali ya pikipiki siku ya Jumanne akitokea kazini kwake Tandahimba...Taarifa zaidi tutaendelea kupeana", amesema baba mzazi wa Innocent mzee Mbwaga.

JamiiForums alikuwa anajulikana kwa jina la Lugano5

View attachment 2836365
R.I. P Innocent Mbwaga
Very sad!
 
Back
Top Bottom