Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Nafikiri lililopata ajali lilikuwa Shengena, ndio wakabadili na kuita Tashrif.No Challenge wakati ule linapata ajali hawakubadili jina na kuliita Shengena au Air Bus! ule mziki ulifatana na ajali ya moto Shauri Tanga Sec school kama sijakosea.