GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji125]Ingekua Arusha wangesema bilionea kafariki... Wayu wa chuga bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji125]Ingekua Arusha wangesema bilionea kafariki... Wayu wa chuga bana
Mmh wengine ndio tulikua tunazaliwaBado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.
66+66+ ?66 + waliosimama!!
Na enzi hizo waliosimama walikuwa wanazidi waliokaa!
RIPTaarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
=====
Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo Aprili 12, 2023 baada ya kudondoka ghafla wakati akitekeleza ibada ya swala ya Alfajir, mjukuu wa marehemu, Hamoud Salim Amri Said amethibitisha.
Mwili wa marehemu Hamoud ambae amezoeleka kwa jina la mzee Tashriif, unatarajiwa kuzikwa leo baada ya swala ya Alasir kwenye makaburi ya Mzalendo kata ya Mwanzange.
Azam news
View attachment 2585301
Apumzike kwa amani,mchango wake katika sekta ya usafirishaji ni "REMARKABLE AND AKNOWLEDGED....kwa wazawa wa Tanga nafikiri wanaelewa hili...Anaekufa ni mtu taasisi ama biashara haifi,tunawatakia kheri walioachwa kusimamia waendeleE LEGACY kwa weledi Ili TASHIRIF ziwe na maendeleo endelevuTaarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
=====
Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo Aprili 12, 2023 baada ya kudondoka ghafla wakati akitekeleza ibada ya swala ya Alfajir, mjukuu wa marehemu, Hamoud Salim Amri Said amethibitisha.
Mwili wa marehemu Hamoud ambae amezoeleka kwa jina la mzee Tashriif, unatarajiwa kuzikwa leo baada ya swala ya Alasir kwenye makaburi ya Mzalendo kata ya Mwanzange.
Azam news
View attachment 2585301
Duh! Umenikusha mbali sana ,kwa kuwa nilikuwa mdogo mi nilijua ni basi la simba mtoto ndo lilipata ajali leo ndo najua sio simba mtoto ni la tashriff.Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.
AminSafari ya upambanaji imefikia tamati,
Alazwe anapostahili,
Arusha ukiacha kula bangi na kuanza kuvuta fegi wewe ni bilioneaArusha neno Bilionea hupewa mtu yeyote anayehama hama grocery au baa na kila anakopita ananywesha watu kuanzia wahudumu.Kuna taasisi moja ilifanya utafiti kuhusu walevi wa Arusha na tabia zao za kuhama kama njia mojawapo isambazayo ukimwi Arusha
Walevi Arusha waweza hama grocery su baa ndani ya saa mbili aweza kupitia grocery au bar zaidi ya tano .Anakunywa hapa anahama anaenda kwingine
Sasa jiji la Arusha mtu kama huyo humwita Bilionea
Maamuma wa kidini na kiarabu.Kiswahili kimetokana na Kiarabu kwa asilimia kubwa sana. Unganisha dots.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeipenda Hiyo, kwa upande wa pili Uko sahihi mkuuUkifikiria kifo muda mwingine unajionea maisha hayana maana shenzi kabisa. Yaani unahangaika kutafuta mali halafu inafika siku unaziacha zote unakwenda kupumzika kaburini peke yako ukiwa mpweke, ndugu zako, mke na watoto wanakuacha ulale peke yako.
Ndio maana mimi kwa kila ninachotafuta kwa jasho lazima nitenge 5% mpaka 10% ya kwangu peke yangu nikale bata nipoze moyo. Iwe mshahara, posho, hela ya dili au faida ya kitu fulani hata kama nimeuza kitu.
Yaani nikifa, kila nitakachokiacha duniani ujue 10% yangu nilishafaidi peke yangu kisha wenzangu huku nyuma ndio wajue wanafanyaje.
Haiwezekani nitafute kwa jasho halafu niwaachie 100%! Haiwezekani haiwezekani.
Wala hujui nini kinaendelea kuhusu mfungo wa Ramadhani.Apumzike kwa Amani!
Nachelea kukihusisha kifo chake na mfungo. Mfungo uzingatie umri, hali ya kiafya n.k. Waislamu wengi hupoteza maisha kipindi cha mfungo, kwani wanafanya mabadiliko ya vile mwili ulivyozoea kwa ghafla (abruptly), na pia kwa kiwango cha juu (severely). Kama kuna mushkeli ya kiafya, inakuwa ni sawa na kujiua mwenyewe.
Sijazaliwa mimi au wewe?Ulikuwa hujazaliwa
Kuna mgogoro hatari wa watoto kugombea maliMfano St Mary's schools
Mfano St Mary's schools
Amina!Umekosea sana sana ila ndo ubinaadam huna budi kusamehewa