TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

Huko ndio balaa

Nipe mifano miwili tu wa hao waswahili wasio wa Uswazi ambai walijufa na hakukuwa na shida kwenye mirathi
Siwezi kuongea Sana Ila Kama hujawahi kuona familia za namna hiyo basi sikulaumu maana sikujui.

Lakini nakwambia Tena zipo nyingi tu na pia hao unaosema hawana zogo Ni kwamba mtizamo wako Ila kiuhalisia wapo wenye mazonge vile vile!

Naongea ninachokifahamu..kukiona na kupata funzo ..., Kuna mengi sema yanafichwa na kwa mtu Baki si rahisi kufahamu.

La muhimu Ni mtu kuweka Mambo sawa mapema ili utakapo ondoka uache maisha salama...na ndio wengi wanaojielewa wanafanya!
 
Pole kwa wafiwa

Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida

Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza

Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida

Watoto wanaiendesha vizuri

Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
Commerce na bookeeping inawasaidia sana
 
Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.
Ile haikuwa shengena kweli?
 
Back
Top Bottom