25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Mwenzaka kaandika lugha pendwa ya kiswahili wewe unaandika ushamba wako na ulimbukeniReally no challenge hiyo. Long time 1996 ilitesa sana ruti ya Dar Singida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzaka kaandika lugha pendwa ya kiswahili wewe unaandika ushamba wako na ulimbukeniReally no challenge hiyo. Long time 1996 ilitesa sana ruti ya Dar Singida.
Umesema kweli kila kitu kina meishoSafari ya upambanaji imefikia tamati,
Alazwe anapostahili,
Kwani ukirithi uwezi kuwa bilionea?mabilionea ni wabantu, waarabu tayari wao wanarisishana sifa ya kuwaita bilionea haileti sound nzuri kama wa arusha, ukisema bilonea wa arusha ina sound vizuri
Hata ule kufa ni kufa tuUkifikiria kifo muda mwingine unajionea maisha hayana maana shenzi kabisa. Yaani unahangaika kutafuta mali halafu inafika siku unaziacha zote unakwenda kupumzika kaburini peke yako ukiwa mpweke, ndugu zako, mke na watoto wanakuacha ulale peke yako.
Ndio maana mimi kwa kila ninachotafuta kwa jasho lazima nitenge 5% mpaka 10% ya kwangu peke yangu nikale bata nipoze moyo. Iwe mshahara, posho, hela ya dili au faida ya kitu fulani hata kama nimeuza kitu.
Yaani nikifa, kila nitakachokiacha duniani ujue 10% yangu nilishafaidi peke yangu kisha wenzangu huku nyuma ndio wajue wanafanyaje.
Haiwezekani nitafute kwa jasho halafu niwaachie 100%! Haiwezekani haiwezekani.
BASI NAONDOKA, LKN KISWAHILI SIKITAKI INGAWA NAKIWEZA SANA,NAPENDA KIINGREZA INGAWA SIKIWEZIKama ujui kuandika kiswahili inatafuta nn hapa?
Ilitokea mto gani?Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.
Au tuseme Bilionea wa Tanga afariki dunia😄Ingekua Arusha wangesema bilionea kafariki... Wayu wa chuga bana
Yaani mwanamke ndiye aliyeokoa watu mtoni au mimi kimalkia changu ni butu? (One of our made great efgorts to swim and she saved some lives.)Mto Msangazi, nilikuwepo pale that day. One of our staff made great efforts to swim and she saved some lives. It was a very sad moment! One of our RAAWU chairperson perished in the drown!
Ajali ya Air Msae ilisababishwa na kukimbizana na basi la Dar Express na si kuzama mtoni. Kampuni zote mbili zilifungiwa kusafirisha abiriaIlitokea mto gani?
Hujachanganya na Msae?
Enzi za ElninoAjali ni ya 98
Kafa kifo kizuri na cha faida.. Hakuna gharama hakuna maumivu hakuna HARI ZA KIFOTaarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
=====
Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo Aprili 12, 2023 baada ya kudondoka ghafla wakati akitekeleza ibada ya swala ya Alfajir, mjukuu wa marehemu, Hamoud Salim Amri Said amethibitisha.
Mwili wa marehemu Hamoud ambae amezoeleka kwa jina la mzee Tashriif, unatarajiwa kuzikwa leo baada ya swala ya Alasir kwenye makaburi ya Mzalendo kata ya Mwanzange.
Azam news
View attachment 2585301
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema Peponi.Taarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
=====
Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo Aprili 12, 2023 baada ya kudondoka ghafla wakati akitekeleza ibada ya swala ya Alfajir, mjukuu wa marehemu, Hamoud Salim Amri Said amethibitisha.
Mwili wa marehemu Hamoud ambae amezoeleka kwa jina la mzee Tashriif, unatarajiwa kuzikwa leo baada ya swala ya Alasir kwenye makaburi ya Mzalendo kata ya Mwanzange.
Azam news
View attachment 2585301
Mwaka gani?Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.
Mfano St Mary's schoolsPole kwa wafiwa
Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida
Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza
Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida
Watoto wanaiendesha vizuri
Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
Umekosea sana sana ila ndo ubinaadam huna budi kusamehewaApumzike kwa Amani!
Nachelea kukihusisha kifo chake na mfungo. Mfungo uzingatie umri, hali ya kiafya n.k. Waislamu wengi hupoteza maisha kipindi cha mfungo, kwani wanafanya mabadiliko ya vile mwili ulivyozoea kwa ghafla (abruptly), na pia kwa kiwango cha juu (severely). Kama kuna mushkeli ya kiafya, inakuwa ni sawa na kujiua mwenyewe.