Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu inategemea, ingawa kwa % kubwa upo sahihi. Miaka ya 90's alikufa Dr. Kairuki na wakati huo ana hospitali tu pale Mikocheni hata chuo hakijaanzishwa, lakini kikaanzishwa chuo, hospitali ikapanuliwa na mpaka leo inafanya vizuri sana kupitia kwa watoto. Nina mifano zaidi. Nadhani sababu ya hayo uliyoyasema kosa ni kwa matajili wengi weusi kutoandaa mazingira endapo wakitangulia mambo yaweje.Pole kwa wafiwa
Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida
Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza
Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida
Watoto wanaiendesha vizuri
Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
Nimepata Link ya gazeti la mwananchi kuhusu hiyo ajali .wamezungumzia na kuhusu kubadili jina toka No Challenge to Tashriff Uchunguzi wabaini sababu za kutokoma kwa ajali za barabaraniMkuu sio kwamba umechanganya!!!Nahisi ile ajali ilikuwa ni Ni NO Challenge akabadili jina Kuwa AirBuss. Tashriff alikuwepo kitambo
Hii ajali ilitokea karibu miaka 25 sasa kama sijapoteza kumbukumbu, na baada ya hiyo ajali ndipo jina likawa TashrifHii Tashreef mbona iko miaka mingi sana nyuma kabla ya ajali au nimekosea?
Kwanini usiandike kwa kiswahili?Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Tutarejea akatuchome moto"Tulitoka kwa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea"
Ok, poleni sana. Nini kimemsibu tajiri wetu jamani?zipo radio nuur wametangaza kaka mazishi saa saba
nahisi ni maradhi hawajaweka waziOk, poleni sana. Nini kimemsibu tajiri wetu jamani?
Kiswahili kimetokana na Kiarabu kwa asilimia kubwa sana. Unganisha dots.Kwanini usiandike kwa kiswahili?
Mzee Mengi alikua wa uswazi?Waswahili wa uswazi..
Lakini wenye vyao na maisha yao ,ambao kila mtu ana kipato chake hawategemeani ..huwa haKuna shida..
Tatizo Ni pale ukoo.mzima mwenye pesa Ni mmoja!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukifikiria kifo muda mwingine unajionea maisha hayana maana shenzi kabisa. Yaani unahangaika kutafuta mali halafu inafika siku unaziacha zote unakwenda kupumzika kaburini peke yako ukiwa mpweke, ndugu zako, mke na watoto wanakuacha ulale peke yako.
Ndio maana mimi kwa kila ninachotafuta kwa jasho lazima nitenge 5% mpaka 10% ya kwangu peke yangu nikale bata nipoze moyo. Iwe mshahara, posho, hela ya dili au faida ya kitu fulani hata kama nimeuza kitu.
Yaani nikifa, kila nitakachokiacha duniani ujue 10% yangu nilishafaidi peke yangu kisha wenzangu huku nyuma ndio wajue wanafanyaje.
Haiwezekani nitafute kwa jasho halafu niwaachie 100%! Haiwezekani haiwezekani.
Kutafuta mali ni kwa ajili ya uwepo wako baada ya kufa, kwamba wanaobaki waendeleze hizo mali, waendelee zaana na kuendeleza jina lakoUkifikiria kifo muda mwingine unajionea maisha hayana maana shenzi kabisa. Yaani unahangaika kutafuta mali halafu inafika siku unaziacha zote unakwenda kupumzika kaburini peke yako ukiwa mpweke, ndugu zako, mke na watoto wanakuacha ulale peke yako.
Ndio maana mimi kwa kila ninachotafuta kwa jasho lazima nitenge 5% mpaka 10% ya kwangu peke yangu nikale bata nipoze moyo. Iwe mshahara, posho, hela ya dili au faida ya kitu fulani hata kama nimeuza kitu.
Yaani nikifa, kila nitakachokiacha duniani ujue 10% yangu nilishafaidi peke yangu kisha wenzangu huku nyuma ndio wajue wanafanyaje.
Haiwezekani nitafute kwa jasho halafu niwaachie 100%! Haiwezekani haiwezekani.
Ahahahahah...siku ukija nalo lishangazi lako nipitie Mkuranga hapa nilione nayasikiaga tu mashangaz ila sina clear picture kuyahusu...ahahahGari yangu hii ya kutokea mtwara kwenda tanga kwa lishangazi langu
Sasa 10% mbona chache ..inabid upige pasu kwa pasu...eeehhhh PKP hiyo...hapo hata ukifa ukaviacha inakua kiroho safiUkifikiria kifo muda mwingine unajionea maisha hayana maana shenzi kabisa. Yaani unahangaika kutafuta mali halafu inafika siku unaziacha zote unakwenda kupumzika kaburini peke yako ukiwa mpweke, ndugu zako, mke na watoto wanakuacha ulale peke yako.
Ndio maana mimi kwa kila ninachotafuta kwa jasho lazima nitenge 5% mpaka 10% ya kwangu peke yangu nikale bata nipoze moyo. Iwe mshahara, posho, hela ya dili au faida ya kitu fulani hata kama nimeuza kitu.
Yaani nikifa, kila nitakachokiacha duniani ujue 10% yangu nilishafaidi peke yangu kisha wenzangu huku nyuma ndio wajue wanafanyaje.
Haiwezekani nitafute kwa jasho halafu niwaachie 100%! Haiwezekani haiwezekani.