TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

Pole kwa wafiwa

Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida

Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza

Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida

Watoto wanaiendesha vizuri

Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
Mkuu inategemea, ingawa kwa % kubwa upo sahihi. Miaka ya 90's alikufa Dr. Kairuki na wakati huo ana hospitali tu pale Mikocheni hata chuo hakijaanzishwa, lakini kikaanzishwa chuo, hospitali ikapanuliwa na mpaka leo inafanya vizuri sana kupitia kwa watoto. Nina mifano zaidi. Nadhani sababu ya hayo uliyoyasema kosa ni kwa matajili wengi weusi kutoandaa mazingira endapo wakitangulia mambo yaweje.
 
Ukifikiria kifo muda mwingine unajionea maisha hayana maana shenzi kabisa. Yaani unahangaika kutafuta mali halafu inafika siku unaziacha zote unakwenda kupumzika kaburini peke yako ukiwa mpweke, ndugu zako, mke na watoto wanakuacha ulale peke yako.

Ndio maana mimi kwa kila ninachotafuta kwa jasho lazima nitenge 5% mpaka 10% ya kwangu peke yangu nikale bata nipoze moyo. Iwe mshahara, posho, hela ya dili au faida ya kitu fulani hata kama nimeuza kitu.

Yaani nikifa, kila nitakachokiacha duniani ujue 10% yangu nilishafaidi peke yangu kisha wenzangu huku nyuma ndio wajue wanafanyaje.

Haiwezekani nitafute kwa jasho halafu niwaachie 100%! Haiwezekani haiwezekani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukifikiria kifo muda mwingine unajionea maisha hayana maana shenzi kabisa. Yaani unahangaika kutafuta mali halafu inafika siku unaziacha zote unakwenda kupumzika kaburini peke yako ukiwa mpweke, ndugu zako, mke na watoto wanakuacha ulale peke yako.

Ndio maana mimi kwa kila ninachotafuta kwa jasho lazima nitenge 5% mpaka 10% ya kwangu peke yangu nikale bata nipoze moyo. Iwe mshahara, posho, hela ya dili au faida ya kitu fulani hata kama nimeuza kitu.

Yaani nikifa, kila nitakachokiacha duniani ujue 10% yangu nilishafaidi peke yangu kisha wenzangu huku nyuma ndio wajue wanafanyaje.

Haiwezekani nitafute kwa jasho halafu niwaachie 100%! Haiwezekani haiwezekani.
Kutafuta mali ni kwa ajili ya uwepo wako baada ya kufa, kwamba wanaobaki waendeleze hizo mali, waendelee zaana na kuendeleza jina lako
 
Ukifikiria kifo muda mwingine unajionea maisha hayana maana shenzi kabisa. Yaani unahangaika kutafuta mali halafu inafika siku unaziacha zote unakwenda kupumzika kaburini peke yako ukiwa mpweke, ndugu zako, mke na watoto wanakuacha ulale peke yako.

Ndio maana mimi kwa kila ninachotafuta kwa jasho lazima nitenge 5% mpaka 10% ya kwangu peke yangu nikale bata nipoze moyo. Iwe mshahara, posho, hela ya dili au faida ya kitu fulani hata kama nimeuza kitu.

Yaani nikifa, kila nitakachokiacha duniani ujue 10% yangu nilishafaidi peke yangu kisha wenzangu huku nyuma ndio wajue wanafanyaje.

Haiwezekani nitafute kwa jasho halafu niwaachie 100%! Haiwezekani haiwezekani.
Sasa 10% mbona chache ..inabid upige pasu kwa pasu...eeehhhh PKP hiyo...hapo hata ukifa ukaviacha inakua kiroho safi
 
Back
Top Bottom