TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

Pole kwa wafiwa

Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida

Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza

Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida

Watoto wanaiendesha vizuri

Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
Waswahili wa uswazi..

Lakini wenye vyao na maisha yao ,ambao kila mtu ana kipato chake hawategemeani ..huwa haKuna shida..

Tatizo Ni pale ukoo.mzima mwenye pesa Ni mmoja!
 
Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo likitoka Dar kwenda Tanga mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff
Naona una umri wa kutosha kiasi cha kukumbuka ajali hiyo ilitokea lini. Ni kitambo sana yapata miaka ishirini na ushee iliyopita
 
Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo likitoka Dar kwenda Tanga mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff

Mkuu sio kwamba umechanganya!!!Nahisi ile ajali ilikuwa ni Ni NO Challenge akabadili jina Kuwa AirBuss. Tashriff alikuwepo kitambo
 
Waswahili wa uswazi..

Lakini wenye vyao na maisha yao ,ambao kila mtu ana kipato chake hawategemeani ..huwa haKuna shida..

Tatizo Ni pale ukoo.mzima mwenye pesa Ni mmoja!
Huko ndio balaa

Nipe mifano miwili tu wa hao waswahili wasio wa Uswazi ambai walijufa na hakukuwa na shida kwenye mirathi
 
Pole kwa wafiwa

Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida

Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza

Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida

Watoto wanaiendesha vizuri

Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli
 
Ukifikiria kifo muda mwingine unajionea maisha hayana maana shenzi kabisa. Yaani unahangaika kutafuta mali halafu inafika siku unaziacha zote unakwenda kupumzika kaburini peke yako ukiwa mpweke, ndugu zako, mke na watoto wanakuacha ulale peke yako.

Ndio maana mimi kwa kila ninachotafuta kwa jasho lazima nitenge 5% mpaka 10% ya kwangu peke yangu nikale bata nipoze moyo. Iwe mshahara, posho, hela ya dili au faida ya kitu fulani hata kama nimeuza kitu.

Yaani nikifa, kila nitakachokiacha duniani ujue 10% yangu nilishafaidi peke yangu kisha wenzangu huku nyuma ndio wajue wanafanyaje.

Haiwezekani nitafute kwa jasho halafu niwaachie 100%! Haiwezekani haiwezekani.
 
mabilionea ni wabantu, waarabu tayari wao wanarisishana sifa ya kuwaita bilionea haileti sound nzuri kama wa arusha, ukisema bilonea wa arusha ina sound vizuri
Arusha neno Bilionea hupewa mtu yeyote anayehama hama grocery au baa na kila anakopita ananywesha watu kuanzia wahudumu.Kuna taasisi moja ilifanya utafiti kuhusu walevi wa Arusha na tabia zao za kuhama kama njia mojawapo isambazayo ukimwi Arusha

Walevi Arusha waweza hama grocery au baa ndani ya saa mbili aweza kupitia grocery au bar zaidi ya tano .Anakunywa hapa anahama anaenda kwingine

Sasa jiji la Arusha mtu kama huyo humwita Bilionea
 
Mkuu sio kwamba umechanganya!!!Nahisi ile ajali ilikuwa ni Ni NO Challenge akabadili jina Kuwa AirBuss. Tashriff alikuwepo kitambo

Mkuu sio kwamba umechanganya!!!Nahisi ile ajali ilikuwa ni Ni NO Challenge akabadili jina Kuwa AirBuss. Tashriff alikuwepo kitambo
Habari ya hilo basi kubadili jina baada ya ajali toka No Challenge i na kuitwa Tashriff ilikuwa kubwa na magazeti mengi yaliweka front page . Bahati mbaya internet ndio kwanza ilikuwa bado haijainea Tanzania
ila unaweza kucheck huu uzi pitia comment utaona https://www.jamiiforums.com/threads...ketea-kwa-moto-pongwe-muda-huu.1325658/page-2
 
Back
Top Bottom