TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

Sasa 10% mbona chache ..inabid upige pasu kwa pasu...eeehhhh PKP hiyo...hapo hata ukifa ukaviacha inakua kiroho safi
Itabidi niongeze ifike hata 40% kwa kweli.
Mimi nishazoe kwa hela yoyote ninayoingiza hata ikipitia benki natenga 10 percent yangu palepale ATM, hiyo hata ikiisha kwa siku 4 ndio kazi yake, siumii.
 
Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff .
Kati ya mema yake 10,000 unakumbuka baya lake moja, ambalo hata inasemekama sio yeye. Binadamu wabaya na tuna chuki sizisoisha.
 
Itabidi niongeze ifike hata 40% kwa kweli.
Mimi nishazoe kwa hela yoyote ninayoingiza hata ikipitia benki natenga 10 percent yangu palepale ATM, hiyo hata ikiisha kwa siku 4 ndio kazi yake, siumii.
Hii nzuri sana..ila sema ukishakuabna majukum kama wengine hapa hii kitu inakua kaz balaa
 
Hii nzuri sana..ila sema ukishakuabna majukum kama wengine hapa hii kitu inakua kaz balaa
Ukishazoea haikupi shida. Ukipata 100,000 ya kimazabe unatenga 10,000 unaweka mfuko wa shati.
Baada ya hapo unaenda kwa wife kukumbushia mahitaji muhimu na kupiga mahesabu na kumwachia.

Mimi hata bia siwezi nikashindwa kunywa kwa sababu hela yote ina bajeti. ni lazima nitarekebisha mahesabu hela ya bia na nyama itapatikana tu itake isitake.

Kwanza nikinywa bia hata akili inachaji vizuri kubuni vyanzo vipya vya mapato.
 
Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.
Duh!!,Wazee wa kufukua makaburi ktk ubora wenu.
 
Pole kwa wafiwa

Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida

Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza

Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida

Watoto wanaiendesha vizuri

Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
Ngozi nyeusi hatuna akili.
 
Taarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia

Innalillah wainna ilayhi raajiuun

=====

Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo Aprili 12, 2023 baada ya kudondoka ghafla wakati akitekeleza ibada ya swala ya Alfajir, mjukuu wa marehemu, Hamoud Salim Amri Said amethibitisha.

Mwili wa marehemu Hamoud ambae amezoeleka kwa jina la mzee Tashriif, unatarajiwa kuzikwa leo baada ya swala ya Alasir kwenye makaburi ya Mzalendo kata ya Mwanzange.

Azam news

View attachment 2585301
Apumzike kwa Amani!
Nachelea kukihusisha kifo chake na mfungo. Mfungo uzingatie umri, hali ya kiafya n.k. Waislamu wengi hupoteza maisha kipindi cha mfungo, kwani wanafanya mabadiliko ya vile mwili ulivyozoea kwa ghafla (abruptly), na pia kwa kiwango cha juu (severely). Kama kuna mushkeli ya kiafya, inakuwa ni sawa na kujiua mwenyewe.
 
Pole kwa wafiwa

Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida

Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza

Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida

Watoto wanaiendesha vizuri

Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
Sahvi ni ungesikia ugomvi wa Mali
Kama watoto wa mabilionea arusha na moshi

Ova
 
Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.
Inauma sana
 
Taarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia

Innalillah wainna ilayhi raajiuun

=====

Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo Aprili 12, 2023 baada ya kudondoka ghafla wakati akitekeleza ibada ya swala ya Alfajir, mjukuu wa marehemu, Hamoud Salim Amri Said amethibitisha.

Mwili wa marehemu Hamoud ambae amezoeleka kwa jina la mzee Tashriif, unatarajiwa kuzikwa leo baada ya swala ya Alasir kwenye makaburi ya Mzalendo kata ya Mwanzange.

Azam news

View attachment 2585301
INNA LILLAHI WAINNA ILLAHI RAJIUN
 
Mto Msangazi, nilikuwepo pale that day. One of our staff made great efforts to swim and she saved some lives. It was a very sad moment! One of our RAAWU chairperson perished in the drown!
Kama ujui kuandika kiswahili inatafuta nn hapa?
 
Back
Top Bottom