AKAN
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 991
- 963
unajua unaweza kuwa Jirani yangu lakin hatujuan tu....Gari yangu hii ya kutokea mtwara kwenda tanga kwa lishangazi langu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajua unaweza kuwa Jirani yangu lakin hatujuan tu....Gari yangu hii ya kutokea mtwara kwenda tanga kwa lishangazi langu
Itabidi niongeze ifike hata 40% kwa kweli.Sasa 10% mbona chache ..inabid upige pasu kwa pasu...eeehhhh PKP hiyo...hapo hata ukifa ukaviacha inakua kiroho safi
Halafu inasaidia nini wakiendeleza Jina lako?Kutafuta mali ni kwa ajili ya uwepo wako baada ya kufa, kwamba wanaobaki waendeleze hizo mali, waendelee zaana na kuendeleza jina lako
Kipindi cha el ninoAjali ni ya 98
Moja kwa moja peponi kafa mwezi wa khaki.Taarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia
Innalillah wainna ilayhi raajiuunView attachment 2585017
Kati ya mema yake 10,000 unakumbuka baya lake moja, ambalo hata inasemekama sio yeye. Binadamu wabaya na tuna chuki sizisoisha.Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff .
Help needed one with swimming talents!Couldn't you help?
Bravo to that brave woman who did the best saving some.
Hii nzuri sana..ila sema ukishakuabna majukum kama wengine hapa hii kitu inakua kaz balaaItabidi niongeze ifike hata 40% kwa kweli.
Mimi nishazoe kwa hela yoyote ninayoingiza hata ikipitia benki natenga 10 percent yangu palepale ATM, hiyo hata ikiisha kwa siku 4 ndio kazi yake, siumii.
Ukishazoea haikupi shida. Ukipata 100,000 ya kimazabe unatenga 10,000 unaweka mfuko wa shati.Hii nzuri sana..ila sema ukishakuabna majukum kama wengine hapa hii kitu inakua kaz balaa
Duh!!,Wazee wa kufukua makaburi ktk ubora wenu.Bado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.
Ngozi nyeusi hatuna akili.Pole kwa wafiwa
Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida
Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza
Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida
Watoto wanaiendesha vizuri
Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
tuko msibani kwanzaGari yangu hii ya kutokea mtwara kwenda tanga kwa lishangazi langu
Apumzike kwa Amani!Taarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
=====
Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo Aprili 12, 2023 baada ya kudondoka ghafla wakati akitekeleza ibada ya swala ya Alfajir, mjukuu wa marehemu, Hamoud Salim Amri Said amethibitisha.
Mwili wa marehemu Hamoud ambae amezoeleka kwa jina la mzee Tashriif, unatarajiwa kuzikwa leo baada ya swala ya Alasir kwenye makaburi ya Mzalendo kata ya Mwanzange.
Azam news
View attachment 2585301
Sahvi ni ungesikia ugomvi wa MaliPole kwa wafiwa
Ngozi nyeupe hiyo huwa hawana shida kabisa akifa watoto wanaendesha biashara bila Shida
Angekufa mswahili saa hii hata maiti wangekuwa hawahangaiki nayo wanajadili mirathi na kutembezeana vipigo na kuficha mali kila.mtu akificha anachoweza
Hqpo bado ndugu waswahili nao utakuta mbio kuja kudandia mirathi
Weupe hawana Shida mzee ASAS wa ASAS group of Companies alifariki lakini cheki kampuni inakwenda bila shida
Watoto wanaiendesha vizuri
Afe mswahili watagombania mirathi hadi sufuria na vijiko na nguo zake hadi za ndani
Huku nako upo vizuriInnalillah wainna ilayhi raajiuun
Inauma sanaBado tunaikumbuka ajali ya basi lake la "No Challenge" lililotumbukia mtoni likijaribu kuvuka daraja lililofunikwa na maji wakati wa mvua na kuua abiria karibu wote waliokuwemo (zaidi ya abiria 70 walikufa) likitoka Tanga kwenda Dar mmiliki akaona abadilishe jina la no challenge na kuyaita Tashriff.
INNA LILLAHI WAINNA ILLAHI RAJIUNTaarifa zilizotufikia leo asubuh ni kuwa mmiliki wa Kampuni za usafirishaji abiria ya Tashrif Hamoud Said amefariki Dunia
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
=====
Mfanyabiashara maarufu jijini Tanga ambae ni mmiliki wa mabasi ya Tashiriif, Hamoud Said Al Habsy amefariki dunia asubuhi ya leo Aprili 12, 2023 baada ya kudondoka ghafla wakati akitekeleza ibada ya swala ya Alfajir, mjukuu wa marehemu, Hamoud Salim Amri Said amethibitisha.
Mwili wa marehemu Hamoud ambae amezoeleka kwa jina la mzee Tashriif, unatarajiwa kuzikwa leo baada ya swala ya Alasir kwenye makaburi ya Mzalendo kata ya Mwanzange.
Azam news
View attachment 2585301
Kama ujui kuandika kiswahili inatafuta nn hapa?Mto Msangazi, nilikuwepo pale that day. One of our staff made great efforts to swim and she saved some lives. It was a very sad moment! One of our RAAWU chairperson perished in the drown!