TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

No Challenge wakati ule linapata ajali hawakubadili jina na kuliita Shengena au Air Bus! ule mziki ulifatana na ajali ya moto Shauri Tanga Sec school kama sijakosea.
Nafikiri lililopata ajali lilikuwa Shengena, ndio wakabadili na kuita Tashrif.
 
Hakuna jipya chini ya jua!
 
Ajali haikusababishwa na mwendo mkali, bali ubishi wa dereva kulipitisha kwenye mkondo wa maji, likasombwa.
 
Inaeleweka hiyo, ila kuna wasiofuata ushauri huo.
 
Ajali haikusababishwa na mwendo mkali, bali ubishi wa dereva kulipitisha kwenye mkondo wa maji, likasombwa.
Upo sahihi hili gazette lilichanganya habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…