mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Wanaume tunapenda sana wanawake so ngoma droo.Covid-19 inapenda sana wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume tunapenda sana wanawake so ngoma droo.Covid-19 inapenda sana wanaume
Amekosea vingi ila haina maana .
akishaondoka mmiliki/muanzilishi wa biashara flaniNdio maana siku kadhaa usafiri ulianza kulega lega kumbe jamaa alikuwa anajiuguza tu. Sijui itakuwaje lakini urithi ukishagawiwa.
Siwezi kueleza mambo ya familia .. elewa tu taarifa siyo sahihiMae, ebu tuelezee ww alivyoviacha basi.
Kama unasema taarifa yake sio sahihi wakati huo unashindwa kutupa huo usahihi basi ngoja tuhamini kwamba ile taarifa ni sahihi.Siwezi kueleza mambo ya familia .. elewa tu taarifa siyo sahihi
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Ni sawa kabisaKama unasema taarifa yake sio sahihi wakati huo unashindwa kutupa huo usahihi basi ngoja tuhamini kwamba ile taarifa ni sahihi.
🙏 🙏 🙏 🙏
Unaumwa nini?He was this young? Ila amepambana sana maana naumwa mda, Mungu amuweke mahali anapostahili...
Mtu wa mwaka 77 tayari ameshaozesha? Alimzaa akiwa na umri gani?anaitwa MAX MOSHI
MCHAGGA WA MARANGU .
kuzaliwa 1977
Shule :Chuo Kikuu Birmigham Uingereza
Huyo binti pembeni ni wake alikuwa anaolewa.
ana Mabasi 12 ya Marangu coach,
Ana biashara zingine za usafirishaji Marekani,
Ni tajiri wa Kipato cha Kati, hayupo kwa matajiri wakubwa.
aliamua kuanza biashara ya Magari kumuenzi Baba yake aliykuwa na Mabasi miaka ya 1970 huko Marangu
Hapana anezaliwa 1968 na hao watoto yupo wakike mkubwa waoYani amezaliwa 1977?
Halafu kwa Mwanaume kuwa na mtoto mkubwa hivyo ktk umri huo?!
Huenda wamekosea huo Mwaka!
Possibly wazee wa kubum kubaaam...Ukichunguza sana unaweza kuta kifo kina mkono wa mtu
mbwa ni nani sasa, hebu tuliza akili, hakuna anayependa kufa kwa mtuAcheni uzushi mbwa nyie
Tushamtandika ndoa kajaribu pengine.Mkuu Kuna basi moja la Marangu Coach lina mtoto mmoja mkali sana. Ananifanya Kila Nikija Tz nilitumie sana gari lao bila kujielewa tu
97 alikuwa na mtoto wa kike, 2019 mtoto kamaliza chuo Ulaya karudi kuolewa:Mtu wa mwaka 77 tayari ameshaozesha? Alimzaa akiwa na umri gani?
Haijaniingia akilini hasa ukizingatia pia alikwenda chuoni pia..
Pole kama nimekukwaza, ilà nimeandika kutokana na experience za watu wengi. When the case is beyond their reach, the patient is transferred to MNH. Hata Rabininsia wanafanya hivyo. Sichafui na wala siwezi kuchafua biashara zao kwa kuandika hivi.
Acha uongo Bana..97 alikuwa na mtoto wa kike, 2019 mtoto kamaliza chuo Ulaya karudi kuolewa:
Unafikir amesoma chuo cha kata kama wewe huko "Hope University " iringa na kwengineko?
Kama unafikir elimu ni ghali jaribu ujinga, wao walijaribu elimu.
Wait mpaka familia idhibitishe, ndio tuwke jukwaaniInasemekana na mkewe nae ametangulia mbele za haki