Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Siku itakuja atakuwa kama mama yake alivyo sasa.
Huyo mtoto wake wa kike ni kisu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtoto wake wa kike ni kisu
Hiyo ni kawaida kabisa kabla hata marehemu hujazikwaR.i.p
Ukishaitwa Tajiri ktk familia zetu za kiafrika,
siku ukifa UNAACHA VITA Kali Sana ya kugombea mali ulzotafta kwa jasho lako.
Ukichunguza sana unaweza kuta kifo kina mkono wa mtuDah kampuni ndio ilikuwa imeanza kuteka soko la kaskazini aisee... RIP Marangu
Ni kweli. RIP
HuendaUkichunguza sana unaweza kuta kifo kina mkono wa mtu
Mke yu mzima ingawa bado yuko kwenye uangalizi maalum, kuhusu kufariki its a fake, fake, fake news Mungu anazidi kumpigania.Kama na mke atakuwa kafariki itakuwa ni pigo kubwa mno
Mama yao bado yu hai, HAJAFARIKI.Poleni watoto. Mmebaki yatima... Mungu awape nguvu.
Unauliza majibu mkuuNi changamoto ya upumuaji ama?
unalaana ya wazazi ko wewewMagufuli hatakufa.
Mkuu hivi ni Corvid au ni Covid-19????watoto wamepona, mke ndio naye anapambania uhai.
Naskia Nchi Nzima wamebaki wa-4 tu, huenda ni familia ya huyu Bosi Kubwa.
Mkuu hivi ni Corvid au ni Covid-19????
Aika MnamaCovid-19
Kumbe ni uzushi...?Mama yao bado yu hai, HAJAFARIKI.
Sio kweli, bado yu hai.Mbona kuna habari kuwa mke naye ametangulia hii ya kweli
Nasikia Jmaa ana mitoto mizuri sana ya kikeSio mawazo finyu mkuu.
Huo ndo uhalisia wa familia zetu,
Inapaswa tujifunze kujitegemea.
Siku si nyingi utaskia ndugu wanagombea mabasi, Kila mmoja anataka achukue lake.
Mwisho wa siku, kampuni inakufa